Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
ATC ni Arusha Tech?njuka wa ATC mie.
ATC ni Arusha Tech?njuka wa ATC mie.
Katutofautisha na wanyamaMungu katuumba kwa mfano wake, katu tofautisha na vinginee
katutofuatisha na wanyamaaa, wasio na akilii.. katupa kujua mema na mabayaa 😭😭Tumepewa masikio na macho ya kuona
Na akili za kujua mema mabaya
Naunga mkono hoja.. but in Good way unaweza msihi Mungu akakutwaa.. na kweli wengine yote ambayo tuliluwa tuna taabikia usiku na mchana ni kwa ajiri ya dady.. I rember ile siku ananipeleka hadi chuoni ananisubiri nifanye usajili.. this.... 🤕🤕🤕Na mimi kuna muda huwa natamani tu hata ningekufa nimfate mzee.
Sina cha kupoteza duniani hapa
inauma.. wengine maisha yetu tuliyaficha kifuani mwa baba zetuu.. baada ya wao kuondoka kila kitu kilipoteza maanaa hapa duniani.. haijalishi napewa nani napata nini yote hayana maanaaShindwa, nimefuta IJN
Na mimi kuna muda huwa natamani tu hata ningekufa nimfate mzee.
Sina cha kupoteza duniani hapa
inauma.. wengine maisha yetu tuliyaficha kifuani mwa baba zetuu.. baada ya wao kuondoka kila kitu kilipoteza maanaa hapa duniani.. haijalishi napewa nani napata nini yote hayana maanaa
☹️☹️☹️ .. hapa nakuwaga kama mtoto.. nataka hii iwe in good way.. sina jambo la maana lilobaki hapa.. duniani twasukuma tu ma sekunde, dakika na masaaa, wiki na miezi... cha maana kishaondoka na maono yangu, nilijenga maono yangu ndani ya baba yangu.. kasepa na maono yake na yangu piaSijui hata nikuelezaje unielewe.... ila jua tu kuwa viatu vyenu vinani-fit vizuri kabisa.
We acha tu.Naunga mkono hoja.. but in Good way unaweza msihi Mungu akakutwaa.. na kweli wengine yote ambayo tuliluwa tuna taabikia usiku na mchana ni kwa ajiri ya dady.. I rember ile siku ananipeleka hadi chuoni ananisubiri nifanye usajili.. this....![]()
Yaani sasahivi hata nikiondoka,sina cha kupoteza.Ushindwe na wewe.
😂😂😂 na tukipotea wana tusahau week tu, maana huna hata urithi wa katoto kwamba wakikaona wakukumbukeYaani sasahivi hata nikiondoka,sina cha kupoteza.
na tukipotea wana tusahau week tu, maana huna hata urithi wa katoto kwamba wakikaona wakukumbuke



Siri gani hiyoWanaume weupe wana hali fulaani hivi, siwezi kumbishia huyo, tena wanaejuaga ni wachache sana, na wale wafukunyuku sana.
Vipi nitoboe siri hiyo?![]()


Sasa hivi mtu ukifa, mwezi mwingi unasahulika 😂😂😂😂.. watalia wiki moja tu, maana hata nguo zako hazitoshi kuwaachia
Dah sema maza wakati atalia sana aisee.
Sometimes huruma huwa inanishika.
Mmh exactly when we put our parents in the place of God; He will never share His glory ujue. Mungu hawezi kuyafungamanisha maono yako na mtu ambaye ameshaondoka kwenye ulimwengu huu, otherwise na wewe ungeshaondoka as kazi yako ingekuwa imeshakwisha. You are still alive kwa sababu bado hujalitimiza kusudi la Mungu hapa duniani. Nusudi lake kwako; possibly halifungamani na uwepo wa baba yako. Hatuishi kutimiza makusudi au maono kwa wazazi wetu; bali kwa Mungu. Everything we do; should be for the kingdom of God first; not for our personal desires.. hapa nakuwaga kama mtoto.. nataka hii iwe in good way.. sina jambo la maana lilobaki hapa.. duniani twasukuma tu ma sekunde, dakika na masaaa, wiki na miezi... cha maana kishaondoka na maono yangu, nilijenga maono yangu ndani ya baba yangu.. kasepa na maono yake na yangu pia
Na muache hizi story zenu; wanyaki tutaanzisha ejooo humu
Dah sema maza wakati atalia sana aisee.
Sometimes huruma huwa inanishika.


Sasa hivi mtu ukifa, mwezi mwingi unasahulika.. watalia wiki moja tu, maana hata nguo zako hazitoshi kuwaachia






Haha si wengine sura zetu haziruhusu kutoka na wanaume wacute. Hao tunawaachia tu ninyi byurifu ladies.Mimi kukua kwangu kote na mashost zangu tulikuwa tunawa-admaya tall dark guys. Teh muda wa uhalisia sasa ulivyofika, ila sidhani kama kuna any of my friend ana mume mweupe; kwenye u-tall sasa teh.
Haha si wengine sura zetu haziruhusu kutoka na wanaume wacute. Hao tunawaachia tu ninyi byurifu ladies.