Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wallah nimekushindwa, sikuwezi mie.
Screenshot_20220108_173023.jpg
 

Mungu awape nini..
Ila mimi siwataki aisee,,mwanaume anakuwa mzuri kuliko mimi hapana kwa kweli.
Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
 
Back
Top Bottom