Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimekushindwa, sikuwezi mie.
Screenshot_20220108_173023.jpg
 
Una mawazo. mabaya sana weweee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].. khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunyonyaa mkunyenge uwe msafi na mnyoofu, sasa wengine umepinda km rungu la mgambo, mara mwingne govinda hadi utoko utoko ule mweupe km pumba unamwagika pembeni ya kichwa msieeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo staki kuongea ujinga ujue? Niwacheeeeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu awape nini..
Ila mimi siwataki aisee,,mwanaume anakuwa mzuri kuliko mimi hapana kwa kweli.
Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunyonyaa mkunyenge uwe msafi na mnyoofu, sasa wengine umepinda km rungu la mgambo, mara mwingne govinda hadi utoko utoko ule mweupe km pumba unamwagika pembeni ya kichwa msieeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo staki kuongea ujinga ujue? Niwacheeeeeeh
Unaona sasaaa 😁😁😁😁.. utawaza
Screenshot_20220108_173817.jpg
 
Back
Top Bottom