Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,241
- 90,419
kumbe eeh.Nimecheka kama mazuri. No wonder hata kwenye sherehe huwa tunakuwa na vibe sana
q
geuka nyuma utaniona
kumbe eeh.Nimecheka kama mazuri. No wonder hata kwenye sherehe huwa tunakuwa na vibe sana
geuka nyuma utaniona
Vizuri sana kama hujamboSijambo,upo kanisani?
Ndo maana wanatushauri tuwe na measuring cup .Yaani inabinyika kama sponge ila nimezidisha blueband kidogo
Nije tusikilize kwaya wote?Vizuri sana kama hujambo
Nilikuwa ila nimetoka nipo nyumbani

Hapana usije tutaishia kugegedana tu na kuharibu sabato yangu mkuuNije tusikilize kwaya wote?

Unashinda hom unafanya nini sasa!!! ?? Amka fanya fanya shughuli zako za hom jioni katembee huko! Urudi usiku!Hahahahah sasa mbona kama mie ntapata tabu sana maana mie kama sina safari ya msingi sitokagi home![]()
Na mimi keki jamani!!Leo nimepata sponge kamili ila nimechemsha kidogo kwenye blueband.View attachment 2073435View attachment 2073436
Naanzaje sasa kukunyima mr HandsomeNa mimi keki jamani!!
😋😋
Ya kitambi???
Hahaa



weka hiyo hiyo ya tambi..Ya kitambi???Hahaa
![]()
Sijakuona hadi muda huukumbe eeh.
q
geuka nyuma utaniona