Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Pijei kama pijei 😂 Happy new year..Depal kama Depal
Pijei kama pijei 😂 Happy new year..Depal kama Depal
Jirani una maksudi ujueChukua miguu yako Valentina View attachment 2072621
Niko kwenye maombi ya kumpata my prince charming dear exUpo kimya
Jirani nina new number 😂 naomba ukanitafute tunapochezaga maana juzi kati nilikuita sanaaa na picha juu ukanivungia 🤨 ikabidi nikalie inbobo kwa kaka mzuri.Jirani una maksudi ujue
Mhh watanzania washaanza 😂hiii comment nimeiona huko.............................;"
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka."
Jamani hata sikusikia jirani yangu, ngoja nikujie kuleJirani nina new numbernaomba ukanitafute tunapochezaga maana juzi kati nilikuita sanaaa na picha juu ukanivungia
ikabidi nikalie inbobo kwa kaka mzuri.
Haya dada mzuri wa kaka mzuri 😂Jamani hata sikusikia jirani yangu, ngoja nikujie kule
Naona umevaa soksi jirani, kwamba chuga baridi leo?Satadei.. View attachment 2073036
Pole sanaaa.. asubuhi ilibidi nimuwahishe kwenye interview.. badae akitoka haooo.. ila hatujafanya kitu kabisaa 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️Mpaka usingizi umeisha
Yaani kumbe kuna maHandsome humu na hawasemi wala kuweka picha tangu uzi umeanza..Hongera Mr HB.![]()
Lazima kuwe na tofauti kati ya watoto wa shule na wakubwa.Yaan humu saiv watu wanaweka picha na kufuta, sisi wenine tuko buzzy na mambo mengne nje ya humu, sasa tukija tunakuta manyoya tyuuh kuku ashaliwaa lol,
Msitufanyie hivyo jaman mweeeeh![]()


Yaani kumbe kuna maHandsome humu na hawasemi wala kuweka picha tangu uzi umeanza..
Kweli tulikuwa tunakula mtori,sasa tumeanza kuzipata nyama.
Dada huyo kaka ni mzuri mno jamaniUnasema????![]()








Una vituko sana 😂Yaani kumbe kuna maHandsome humu na hawasemi wala kuweka picha tangu uzi umeanza..
Kweli tulikuwa tunakula mtori,sasa tumeanza kuzipata nyama.
Jiranii weee siku hizi joto, baridi ni asbh tena kidogo.Naona umevaa soksi jirani, kwamba chuga baridi leo?
We kaka naomba namba zako, kuna kitu nikwambie 😂Hii yote kwa heshima yako nkamu gwangu, my first ever selfie in this thread 🤣🤣🙈🙈
View attachment 2072340