Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Dah,Walevi sio watu wazuriusiwasikilize hata, tena weka maskio pamba
![]()
Nisapoti basi ili nionje hata wine jamani.
Ongea na baba mtumishi atoe ruhusa.
Dah,Walevi sio watu wazuriusiwasikilize hata, tena weka maskio pamba
![]()
Ile nayo tamu sanaaa, nadhani kwenye wine tamu na cheap ile inaongoza.Hivi ile Saint Anne ipoje jamani??
Ukute ni tamu ssna tu na hamsemi.
Mweee ona nayo sijawahi kuonjaIle nayo tamu sanaaa, nadhani kwenye wine tamu na cheap ile inaongoza.

Itabidi niongee na baba mtumishi kuhusu hili, natumai atanielewa. Tena utaanza na ya jina lako St. AnnaDah,
Nisapoti basi ili nionje hata wine jamani.
Ongea na baba mtumishi atoe ruhusa.
Kabisa yaaniItabidi niongee na baba mtumishi kuhusu hili, natumai atanielewa. Tena utaanza na ya jina lako St. Anna


Eeh hatutaki shida😂😂aseeh watu mnakunywa wine tyuuh
Mkuu unatupeperushia ndegeWalevi sio watu wazuriusiwasikilize hata, tena weka maskio pamba
![]()
So sore mkuu, nilijua mmezima hamtaona comment😅Mkuu unatupeperushia ndege
Ulikua unatumia vitu laini safi kwa warembo!..kwann uliacha?Niliacha ingawa hivi vikali havikua vinywaji vyangu.
Mimi ilikua Redds au Savanah
Nimepiga shots mbili tu nimeshaingia kwenye blanket..
Jana kidogo nife![]()



Mpyaa naangaika nayo nowhii ni mpyaa?
Guiness leo sina. Savannah ni vitu vya warembo
Huku naangalia live miss East Africa!pombe kwa afya, wacha wee
Dogo udichanganye madesa utazima....