Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Lazima aje ashushe Tenzi za Rohoni hapa😅😂 we ngoja aamkeSipatii picha mashairi atakayoshusha
Kwanza hapa akiona atakuja na dislikes zake
Ila hafanyi fair kabisa aisee.
Lazima aje ashushe Tenzi za Rohoni hapa😅😂 we ngoja aamkeSipatii picha mashairi atakayoshusha
Kwanza hapa akiona atakuja na dislikes zake
Ila hafanyi fair kabisa aisee.
Ndio lile wameweka humu lina pembe za shetani?Sijawah ionja hyo, jina tu linaniogopesha😅
Ni veery sweet😋Jina tyuuh mie hoi.![]()
Chaaaa!!😂😂😂😂Head girl wa secondary ipi?![]()
Eeh itakua hyo hyo, si unaona jina tu linatisha😂😂Ndio lile wameweka humu lina pembe za shetani?
Yaani yule nikimwambia achague moja kati ya either mimi kunywa pombe au yeye atembee Arusha hadi Dar atachagua kutembea Arusha hadi Dar.Lazima aje ashushe Tenzi za Rohoni hapa😅😂 we ngoja aamke
Watu mna pesa hadi wallet zinaona wivu,View attachment 2056151
Ngoja tupunguze Ada za vijana za Januari kwa Kula Christmas
Merry Christmasto everyone out there. Enjoy responsibly
![]()






Basi usimkwaze baba mtumishi tasavali, venye anakupenda hayuko tayari kukupotezaYaani yule nikimwambia achague moja kati ya either mimi kunywa pombe au yeye atembee Arusha hadi Dar atachagua kutembea Arusha hadi Dar.
Na mimi vile nampenda baba mtumishi wangu ,nimewasaliti walevi wote humu kwa sababu yake.Basi usimkwaze baba mtumishi tasavali, venye anakupenda hayuko tayari kukupoteza
Dah nyie watu mmenimotivate na pombe zenu hadi nimepata kiu.
Nimejisikia wivu imebidi nichukue juice ninyweView attachment 2056187







Hivi ile Saint Anne ipoje jamani??Eeh itakua hyo hyo, si unaona jina tu linatisha![]()
Watu wabaya sana😂😂
Wewe mtu wa pili unaniambia jamani🤣
Walevi sio watu wazuri😂😂 usiwasikilize hata, tena weka maskio pamba🤣Na mimi vile nampenda baba mtumishi wangu ,nimewasaliti walevi wote humu kwa sababu yake.
Watu walipanga kunipigisha vyombo,wakanijaza na upepo wiki nzima,ila akija sasa yeye akatamka tu neno moja basi formations za walevi zote zinayeyuka.
Umemuona shemeji yako?