Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Hahaaa kawaida tu boss wangu [emoji3][emoji3]Dogo udichanganye madesa utazima....
Hahaaa kawaida tu boss wangu [emoji3][emoji3]Dogo udichanganye madesa utazima....
Unachanganya hizo bia ama nn inafanyika hapo?[emoji1786][emoji1786] [emoji39][emoji39]View attachment 2056213View attachment 2056214
[emoji23][emoji23][emoji23]Unachanganya hizo bia ama nn inafanyika hapo?
[emoji23][emoji23]Na sisi waleta nzi mezani, em tuselfika na ma-mirinda na fanta. [emoji23][emoji23]
Merry Christmas Y'all. Drink Responsibly. Drive Safely
AmenNawatakia heri na fanaka ya sikukuu ya christmas na mwaka mpya.
Bwana Mungu awabarikie na kuwalinda
Akuinulieni nuru za uso wake na kukufadhili
Akuinulie uso wake na kuwapeni amani[emoji120][emoji120]
KRISTO AMEZALIWA KWELI HALLELUYA KWELIView attachment 2056259
Amina🙏🙏🙏Nawatakia heri na fanaka ya sikukuu ya christmas na mwaka mpya.
Bwana Mungu awabarikie na kuwalinda
Akuinulieni nuru za uso wake na kukufadhili
Akuinulie uso wake na kuwapeni amani[emoji120][emoji120]
KRISTO AMEZALIWA KWELI ĶWELI HALLELUYA View attachment 2056259
Asante bosslady na kwako pia
Asante sana. Na ikawe hivyo kwako na familia yako pia - kwa mwaka huu na mingine mingi ijayo [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Amen!!🙏Asante sana. Na ikawe hivyo kwako na familia yako pia - kwa mwaka huu na mingine mingi ijayo [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Utaselfika leo bosslady? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Amen!![emoji120]
Asante bosi!🙏Asante bosslady na kwako pia
🤣🤣🤣 Msukuma unaniua mbavu asubuhi asubuhi ujue hahaha! Kam kauwaaa mine tena wanijua!Utaselfika leo bosslady? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mwenye bosslady wake akijitojeza basi mie ndukiiii [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msukuma unaniua mbavu asubuhi asubuhi ujue hahaha! Kam kauwaaa mine tena wanijua!
Ndiyo siwezagi kunywa bia za aina moja [emoji16][emoji16]Unachanganya hizo bia ama nn inafanyika hapo?
Lol ntakuja badae kuichukuaaa usiigawe jamaniMwenye bosslady wake akijitojeza basi mie ndukiiii [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Tucheke na kufurahi bana. Mwokozi wa Ulimwengu kazaliwa leo...
Ukiselfika nitag ukiweza bana. Tena nilinunua zawadi yako hapa sema ndo sina mahali pa kuipeleka [emoji24]
Nitaiwacha kwa bosi wako atakuletea. Kila la heri bosslady [emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji2221][emoji2221][emoji2221]Lol ntakuja badae kuichukuaaa usiigawe jamani