Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una nywele nzuri sana Wii, ila hupendi nywele! Unazikata tuu kila mara. Ndio penye miti hapana wajenzi?
Nina kipilipili kigumu wii
Ila nikikisuka kinalainika.

Siku hizi sijisikii kukifuga ,,nafanya mchezo wa kunyoa na kusuka.
 
Miyeyusho wewe
Njoo mkuu
20211224_204945.jpg
 
Basi una asili ya nywele , zinakua haraka .
mie zangu hapa nilisuka style ya vitunguu hivi nashangaa nywele zimekatika , nakomaa nazo yaani .
Nzuri wapi nazibembelezaga tu
Nasukaga kwa sababu kuchana kila siku zinauma mno,,nina nywe ngumu kama jiwe.
Ila nikianza kubana huwa nazifurahia.
 
Anakula ndio,
ntakutolea vichwa na maganda ule nyama ya ndani kwanza..
Kuna dada msaidizi wa kazi alikujaga alivyowaona alikuwa kama wewe, nikamuonjesha, basi toka siku hiyo akanogewa.
Mimi kwa kuwaona tu hata kuonja siwezi.
Kaka atanivumilia tu
 
Kuchana ni mtihani sana kwenye natural
Ila nywele yako inawahi kukua .
Hazina uzuri wowote
Nikianza kuchana nakata machanio.
Mimi sasa nikinyoa huwa nawaza kuchana maana nina nywele ngumu sana.

Naamua kusuka kwa sababu kuchana ni wakati wa kusuka tu,angalau napumzika kuchana maana nikinyoa basi kuchana ni kila siku.
 
Hazina uzuri wowote
Nikianza kuchana nakata machanio.
Mimi sasa nikinyoa huwa nawaza kuchana maana nina nywele ngumu sana.

Naamua kusuka kwa sababu kuchana ni wakati wa kusuka tu,angalau napumzika kuchana maana nikinyoa basi kuchana ni kila siku.

Wenye nywele ngumu tunapata shida sana ,
Hupendi kunyoa kwa style au curl hivi ?
Kusuka huwa kunasave sana .
 
Back
Top Bottom