Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wee huyo uliye mtaja muache, mkewe anafaidi aseeh, kwa wembamba ule na urefu piaa, aaah afu iwekwe style ya msomali kafia kwenye fiati acha bhana wee,

Kukinaisha kunatokana na huo ubonge jaman wee mzee, sasa mwanaume unakua bonge ili ugundue nn? Kawe kakitambi ka kufutia tecno F1 bas,

Nakuja hivyoo hebu niwekee na kitumoto na maji makubwa ya masafi au kitulo,
We binti umenishinda tabia 😅🙌

Karibu sana rafiki 🥂
 
IMG20211224183025.jpg

Ngoja tupunguze Ada za vijana za Januari kwa Kula Christmas 😜😜

Merry Christmas 🎄 to everyone out there. Enjoy responsibly 🥂
 
Inabidi nionje aisee
Haiwezekani hadi sasa sijaonja pombe
We una makuzi nilikwambia uje hutaki😅ungekuta ushainjoy maana hilo li smirnoff ni litamu yani kama juisi haina uchungu kama pombe zingine. Im pretty sure with 2 bottles you would be fine.
 
Back
Top Bottom