Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
ChapNje ya magu hostel opposite na mawasiliano tower.![]()
Chap




wee lect n serious? Noope bhana mie situmii vinywaji vya kiwandani. 



Thenki yu mai furendi. I live a very simple life - but on my own terms. You are welcome to visit; and move in (if possible)What a beautiful place![]()






Can somebody shout AMEN?
Nafsi yangu inakufurahia wangu wa moyoni .
Unajua vile nakupenda mno..
Hakika Mungu ni mwema kwetu...
Hopeful Mataga hawakuniona 🤣🤣Hivi Unajua mama mtumishi hachoki kumuangalia gentleman wake?
Kama yungiyungi kati ya michongoma,
Ndivyo alivyo mpenzi wangu kati ya wasichana.
Nafurahia kuketi chini ya kivuli chake,
Na tunda lake (Sio kimasihara 🤣🤣) tamu sana kwangu.
Thank you Shimba!!!Thenki yu mai furendi. I live a very simple life - but on my own terms. You are welcome to visit![]()
Unatumia vinywaji gani?wee lect n serious? Noope bhana mie situmii vinywaji vya kiwandani.
Leo upost Jack Daniel's na Guinness.![]()
Hivi ni baharia gani aliandika Wimbo Ulio Bora? Ni Sulemani ama? Alishusha nondo za kufa mtu na wakati tukiwa vijana enzi zetu hakuna simu bado tunatuma barua za maua maua na vimishale usingekosa mafungu kutoka katika kitabu hiki. Nasikia kulikuwa na mzozo mkubwa wa kukikubali kama sehemu ya Biblia na kiliingizwa kwa mbinde tu...Can somebody shout AMEN?
Hopeful Mataga hawakuniona
Itoshe tu kusema;-
Movin In ?Thenki yu mai furendi. I live a very simple life - but on my own terms. You are welcome to visit; and move in (if possible)![]()


thanks!!!!Had to check it out....
Mkuu huyo jamaa aliyeandika nadhani ni moja kati ya wanafasihi bora sana kuwahi kutokea.Hivi ni baharia gani aliandika Wimbo Ulio Bora? Ni Sulemani ama? Alishusha nondo za kufa mtu na wakati tukiwa vijana enzi zetu hakuna simu bado tunatuma barua za maua maua na vimishale usingekosa mafungu kutoka katika kitabu hiki. Nasikia kulikuwa na mzozo mkubwa wa kukikubali kama sehemu ya Biblia na kiliingizwa kwa mbinde tu...
View attachment 2054800
🤣🤣 Aisee jamaa alikua mkalinikamshika wala sikumwachia aondoke,
hadi nilipompeleka nyumbani kwa mama yangu,
hadi chumbani kwake yule aliyenizaa.
Ulikuwa hujaiona hiyo eeeh!?Movin In ?thanks!!!!





Ulikuwa hujaiona hiyo eeeh!?
Let's laugh jamani and enjoy life hasa kipindi hiki cha sikukuu
Happy holidays to us all![]()



Natumia maji, togwa, mbege, ulanzi km hivyo tyuuhUnatumia vinywaji gani?
Bdae napost



Hata siwezi maliza huo, mwili usharizika boss wanguKuna ugali mwingine unakuja au ndiyo imetoka hiyo?![]()
Unajua nimekuuliza hivyo Kwa sababu sijawahi kuona picha zako nadhani napishana nazo au unazifutanimecheka hadi kupaliwa, sijui hata mnawazaga nn yaan.
Mwingne jana katoa povu kuwa kuna I'd 10 alidhani n pisi kali kumbe n wife materials,utadhan yeye nn pasi kali kumbe husband Materials.
Jf never boring.![]()