Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi mwenyewe sina hakika.


Btw, you 're missed
emoji4.png

Ni yeye amekumiss
emoji23.png
Nakumiss pia Anne
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa yaan, hapa nakumbka siku ile jinsi alivokua ashabadilika usoni kutaka kulia, nacheka km chizi

Pombe zingine majina ya watu, zingine majina ya nyimbo za wasanii bas tafrani tupu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wallah mommah hebu nipitishe ktk store za vinywaji, nisiabike siku nyingne, najua yule mtu lazima ananiona mshamba tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa haya mambo siyo ya kubishia kama huna uhakika mdogo wangu utaaibika mbele za watu [emoji28][emoji28]
 
Asee mambo yalikuwa magumu sn kwangu.Nashukuru naendelea vizuri.
Jf ilikuwa nachungulia Tu Kwa vile nimezoea
Ilikuwa ngumu hivyohivyo kwa wote[emoji1787]
Ni vile wengine tunajitoa tu ufahamu..hata tukigongwa vipi na homa hatupotei hewani afe kipa afe beki.


Pole mkuu,
Mungu akufanyie wepesi upone haraka[emoji120]
 
Back
Top Bottom