Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20211223_175220.jpg
 
Can somebody shout AMEN?

Hopeful Mataga hawakuniona

Itoshe tu kusema;-
Asante baba mtumishi wangu
Wacha watu kutoka pande zote waje,kuona jinsi nilivyobarikiwa..Naam Mungu wa Mbinguni alivyonibariki.
Wote waje kushuhudia huu upendo wetu
mzito.
vile mkono wangu wa kushoto nauweka chini ya kichwa chako,,Nao wa kuume ukiwa umekukumbatia.


Mimi ni wako mpenzi wangu,
Nawe ni wangu.

.............
Should I say more my gentleman ?
 
Hivi ni baharia gani aliandika Wimbo Ulio Bora? Ni Sulemani ama? Alishusha nondo za kufa mtu na wakati tukiwa vijana enzi zetu hakuna simu bado tunatuma barua za maua maua na vimishale usingekosa mafungu kutoka katika kitabu hiki. Nasikia kulikuwa na mzozo mkubwa wa kukikubali kama sehemu ya Biblia na kiliingizwa kwa mbinde tu...
View attachment 2054800
Inabidi vijana wa ulimwengu wakachukue somo kanisani kwenye Biblia.


Hadi sasa hakuna kijana aliwahi andika mashairi makali kama ya wimbo uliobora.
 
Back
Top Bottom