cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Hiyo ukiweka kwenye chupa ya maji huwezi jua.




Hiyo ukiweka kwenye chupa ya maji huwezi jua.




Itakua kuna mahala aliangukia pua huko akajutaaa mana alikua na matarajio tofautinimecheka hadi kupaliwa, sijui hata mnawazaga nn yaan.
Mwingne jana katoa povu kuwa kuna I'd 10 alidhani n pisi kali kumbe n wife materials,utadhan yeye nn pasi kali kumbe husband Materials.
Jf never boring.![]()

Itakua kuna mahala aliangukia pua huko akajutaaa mana alikua na matarajio tofauti![]()





yaan alivotoa povu hiyo jana, mie mbavu cna kwa kucheka uwiiih.Yes, nikuletee uonje?Lect hiyo ndo amarulah?![]()



Nipe locationNdyo niletee hapa nasubir,![]()

Kuna ugali mwingine unakuja au ndiyo imetoka hiyo?Shamba, siyo upare lakini.
KaribuView attachment 2054745



Mzee wa busara hii tv yako n nch ngapi? Na bei yake km hutojar.Sasa ndo inakuwaje? Keshokutwa Krismasi lakini hakuna zawadi hata moja chini ya mti
View attachment 2054762
Hatari sanayaan alivotoa povu hiyo jana, mie mbavu cna kwa kucheka uwiiih.

Nje ya magu hostel opposite na mawasiliano tower.Nipe location![]()



Hakuna binadamu ambaye haumwi.Hata mwamposa anayeombea uponyaji nae huumwaSasa wee Dr unaumwaje tena?![]()
Hakuna binadamu ambaye haumwi.Hata mwamposa anayeombea uponyaji nae huumwa








iv wee Dr una nn wee, nimecheka km chizi vile, eti mwamposa khaaaah.Saint Anne kila siku anakuomba picha Ila humsikilizi,km unangoja ruhusa yangu Tyr nimekuruhusuAm glad u r ok Lil Boo 😘😘
What a beautiful placeSasa ndo inakuwaje? Keshokutwa Krismasi lakini hakuna zawadi hata moja chini ya mti
View attachment 2054762
