cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Huwa namuona Mkuu. Kwa mtazamo wangu naona hajamfikia Trent bado.Tenga muda wako uangalie skills zake, yule dogo Yuko vizuri sana na hivi Yuko na 21 yrs, there's bright future with him![]()
Kabisa mdogo wangu![]()




wee sipendi story mie, huwa nakaa seat ya mwshoni dirishan, mie n kutazama nje tyuuh.Ngoja nisubiri nawe urushe japo mojaAsante sana...
Rusha na guu sasa tumalize mchezo. Kwa huyu mganga nikiyenaye Mama Mchungaji hachomoki nakwambia....![]()

Beautiful scenery
Ni maeneo gani ?
Mjukuu bana. Sasa utapigaje vyombo bila Yutong?Sawa,sawa,siyo ule elevi wa yutong![]()


. These things go together. Yutong ipo inakuja baadaye 
Ooh Asante . ..Highlands ipo Bigwa, Morogoro
Ohoooooo...yamekuwa hayo?Natafuta babe mwingine...my ex nifanyie mpango kwa huyu NaddySL
Amen Mtumishi mwema.
You bring your family. I bring mine. Na Biblia na mapambio tosha. It will be nice![]()
Samahani mkuu!sie vijana wa kidimbwi tumekukosea nini![]()



Nini hichi mjukuu? Unanipa wakati mgumu sana kupambana na mabaharia. Nachoka yaaniUsiku mwemaView attachment 2048025

Mkono soft hadi rahaa
Mjukuu bana. Sasa utapigaje vyombo bila Yutong?. These things go together. Yutong ipo inakuja baadaye
View attachment 2048029











nacheka kwa sauti hapa
Wewe unafikiri Yutong kama hii utawezana nayo kwa kula chips? We mjukuu vipi?nacheka kwa sauti hapa
Nimekutizama nimeishia kusema Hiiiiiiiii
Umekula ugali au chipsi?