Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,353
Ha ha karibu vyombo View attachment 2047863
Wewe jamaa
Ha ha karibu vyombo View attachment 2047863
Mapenzi ya mbali ni magumu sana!..mtoto yupo AtownMtandike na ukuni bro![]()
Kilabuni ndio wapi?

Nitapita hapo mida m8daNani yupo Goba muda huu ajongee hapa Joy eslava tunywe pombe…
Nibariki na picha yako nyingineAsante Anna imetosha ubarikiwe.


Amen
Halafu Mama Mchungaji. Hebu kata mzizi wa fitina. Kuna siku kweli utaselfika hapa au ni miyeyusho tu deile?
Kusema kweli tumevumilia tumechoka sasa. Kama vipi weka tu hata picha za vichaka na swimming pools za Nguzo Camp zitatosha![]()
Natafuta babe mwingine...my ex nifanyie mpango kwa huyu NaddySL
Ndiyo, umesema soda 10@1,000 =10,000
Ng'wagoko bhageshiYuuu! Naghubhona! Hujambo lakini
Njoo masaki, ukiwa njiani niambie nikuelekeze nilipoUko wapi nije?
Nimemiss konyagi![]()
Ha haWe mkaka tulikutana Pale bochi hospital mbezi kwa msuguri,na ukawa unatomasa tomasa kidoti changu Na ukaniuliza,nimezaliwa nacho?, nakusalimia sana kama upo hapaView attachment 2047852

Hahahaha...Bhageshi kama kula huwa nakula sana kwa kweli ila mwili kuongezeka huwa naongezeka kidogo mnoKusema kweli bageshi ongeza msosi kidogo. Si kwa wembamba huu japo inasemekana nyie wembamba wa hivi mnapendwa sana na mabinti na hasa ma Yutong....![]()

Jitahidi mzuge zuge dada wa watu angalau hata miezi 6.Natafuta babe mwingine...my ex nifanyie mpango kwa huyu NaddySL

Namshukuru MUNGU hii hali haijanipata,raia inawachangamsha kiukweliInachangamsha sana
Inabana tu siku moja..siku nyingine makali yanapungua.
Asante sana mkuu .Ndiyo, umesema soda 10@1,000 =10,000
Plus ya kutolea 2,500
Total 12,500.00
Fanya hima kabla sijarudi kwa Bibi yako![]()

Weka hata picha za Nguzo Camp roho zitulie kha!Wewe ndiyo wa kuni-snitch? Dawa yako ipo jikoni![]()