Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,899
- 136,564
JeshiniNdio wapi huko?![]()

JeshiniNdio wapi huko?![]()

Kwa kweli, si unajua tena Wazee mwendo wetu hasa tukipewa ofa za aina hiyo![]()




kwenda ukoKaribu sana kaka. Ila sijui kama ntakuwepo huku hahaahahah.ok.mie huko tarehe 5 ktk mapinduzi cup
Corona iliyochangamkaila kiukweli dar kina ka wimbi ka homa plus mafua



Unaleta nyuki dogoTupige vyomboView attachment 2047798
Unaleta nyuki dogo

Asante sana...Bado wewe tuView attachment 2047775

Ni kweli,imechangamka na inawachangamsha wana daslamuCorona iliyochangamka![]()


Vyombo vya Waadventista Wasabato hivi!Tupige vyomboView attachment 2047798

Vyombo vya Waadventista Wasabato hivi!
Ungeonja vyombo vya eksi wako sasa hivi ungekuwa ushazoea K Vant inashuka tu kama maji![]()


Mimi sikutaka dhambi mkuuHizo zinakutosha ngapi kulewa? Nataka nikupige za kutosha ili nikuone ukiyumbayumba😜😜Tupige vyomboView attachment 2047798
Omicron kajengewa hofu dunia nzima lakini Mungu naye si Athuman kumbe hata makali hana kivile. Anazidiwa makali na mtangulizi wake Delta mara 100...Dawa ya OmicronView attachment 2047802
Ina maana hata Savannah hukumuonjesha?Mimi sikutaka dhambi mkuu

Very true..huyu Omicron hana makali kabisa vijana wengi wanaumwa mafua na kichwa then wanapona.Omicron kajengewa hofu dunia nzima lakini Mungu naye si Athuman kumbe hata makali hana kivile. Anazidiwa makali na mtangulizi wake Delta mara 100...
Kwa wenye ishu za moyo, presha, visukari na compromised immune systems ndiyo anatesa lakini kwenu hasa nyie vijana ni mafua, homa tu na maumivu ya mwili huyooo anakwenda zake. Piga vyombo kamanda!
Hapana sikutaka kumfanya mtakatifu awe mdhambi.Ina maana hata Savannah hukumuonjesha?![]()
Inachangamsha sanaNi kweli,imechangamka na inawachangamsha wana daslamu![]()

You are a holly man. Safi sanaHapana sikutaka kumfanya mtakatifu awe mdhambi.

