Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
Kulaga na ugali nyanda bhebhe!
Haya waachie vijana wa kidimbwi



Kulaga na ugali nyanda bhebhe!



Have you ever tried your luck there?Nimewahi kufika! Hela zipo kwa wanaojishughulisha na uchimbaji wa dhahabu ila si unajua tena hiyo biashara lazima uwe vizuri kwenye yale mambo!
Mh! Sikuwakorofisha ila nilikatisha kwenye njia ambayo walishasema watu wasikatishe...na ndio shortcut!!![]()


ndiyo ukorofi wenyewe huo
,nawaoneaga huruma raia wanapigishwa kichura hadi siyo poa
Tenga muda wako uangalie skills zake, yule dogo Yuko vizuri sana na hivi Yuko na 21 yrs, there's bright future with him 💪Nahi sijavutiwa nazo![]()
Hahaha! Vipi lakini kijana wa Tipidanga
Usimpoteze huyo kijana, anakabiliwa na kazi ya kufyeka pori kwa menoBado mirinda nyeusi hapo![]()



, mshauri apige nguna na sato aache hizo mboga ( chips)


Ngoja nimkumbushe kuwa hata Mfalme Suleimani alikuwa na wake 300 na Michepuko 700 lakini wake zake hawakumwacha hata baada ya kujua, Kwanini Yeye ameshindwa kujifunza?Niliachwa sababu sijatulia eti michepuko mingi![]()
Usimpoteze huyo kijana, anakabiliwa na kazi ya kufyeka pori kwa meno, mshauri apige nguna na sato aache hizo mboga ( chips)
![]()




mirinda nyeusi ya baridiiiii na chachandu kidogo
Tushasonga mbele kama injili.Nilidhani Pombe, keep that reason with you.
If not that strong rudisheni majeshi, Mimi na Bibi yenu mwaka 1977 tulirudiana mara 7 baada ya break ups kama yenu![]()
Nipe location kwa Waziri Mkuu nije kukujoin.
Mapenzi ya mbali ni magumu sana!..mtoto yupo Atown



Hamkutaka kujifunza kwa sie Wazee 🙈🙈Tushasonga mbele kama injili.
Alikuwa ananipa presha.Hamkutaka kujifunza kwa sie Wazee![]()
Hizo ni kumbukumbu tu bana, sipo huko leo. Siku moja ukipata nafasi, kagongeNipe location kwa Waziri Mkuu nije kukujoin.
Very cool place hasa ukiwa unapata![]()



. Nitakupa maelezo vizuri
Weka pichaAlikuwa ananipa presha.
Ikionyesha presha ilivyopanda?Weka picha