Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ata sielewiiii😀😀😀 yakoooIkionyesha presha ilivyopanda?
Ata sielewiiii😀😀😀 yakoooIkionyesha presha ilivyopanda?
Siku hiyo tutaungana pamoja kupiga vyomboHizo ni kumbukumbu tu bana, sipo huko leo. Siku moja ukipata nafasi, kagonge. Nitakupa maelezo vizuri

Ukiweka yako nitawekaAta sielewiiiiyakooo
Siku hiyo tutaungana pamoja kupiga vyombo
Itakuwa bia tu kwa kwenda mbele.
Kama walinzi hawatakuzuia kuingia please kaniwekee ujumbe kwenye ofisi ya Waziri MkuuHizo ni kumbukumbu tu bana, sipo huko leo. Siku moja ukipata nafasi, kagonge. Nitakupa maelezo vizuri
Hofyoooo. Nimeanza mazoezi ya kupost, soooooooon





Eeeeeh muganda wangeTunachoongea sio kihaya!!
Hivi vyombo kumbe ni ghali eeh!



Asante walevi

Asante. Angalau umejitahidi. Ni hatua nzuri. Na Mungu Akipenda nitakuja hapo March 2022 pamoja na familia yangu. Naamini watapapenda. Itapendeza Mtumishi ukiwa mwenyeji wetu

Nakuaminia,bado sana hiyo,ongeza
Forensic entomologist...kazi ngumu lakini ina mshiko!I will die this year,, View attachment 2047986
Mimi na any dead organism ni foes from the beginning of time,,,Forensic entomologist...kazi ngumu lakini ina mshiko!
Maiti ikiokotwa imeoza wewe kazi yako ni kuchunguza insects activity na kubashiri muda ambao kifo/mauaji yalitokea......na kuwasaidia wapeleleki kuamua majeraha yapi yametokana na funza na yapi yametokana na sababu zingine....Utaweza?
I will die this year,, View attachment 2047986