Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilimuuliza mtu shoga akitubu anaenda mbinguni au haendi? Akanijibu anaenda sasa maneno mengine ya nini ikiwa huyu mtu anaenda mbinguni?
Sema hizi mada zenu😃😃
 
Unafikia amri ya kwanza hadi ya 10 ziliwekwa vile kufurahisha? au wasinge anaza na ya kwanza usinzi ila ya kuzini wakaiweka namna 6.. unafikiri kwanini walikweka namba ya 6? zile namba zina maana sana na zina uzito sana ila kama unaona sawa, endelea kuamini hivyo..
Tupe maandiko kidogo ya Biblia kuhusu hizi namba mkuu.

Inawezekana wewe unayo na umeziwekea uafadhali unaoujua,na sisi hatuujui.
 
Back
Top Bottom