Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246

Sawa,umekula sasa
Tuone picha yako ukiwa umeshiba



Na wewe endelea kuamini kwamba kuna uafadhali katika dhambi na wakati wote wasipotubu wanaenda motoni...Unafikia amri ya kwanza hadi ya 10 ziliwekwa vile kufurahisha? au wasinge anaza na ya kwanza usinzi ila ya kuzini wakaiweka namna 6.. unafikiri kwanini walikweka namba ya 6? zile namba zina maana sana na zina uzito sana ila kama unaona sawa, endelea kuamini hivyo..
Cha che chii chi chii choo chuuuuWewe hili paja aiiiiiiiiihhh!!!!!!!!
Am good beibeBabe, u good?![]()
Msalimie mpishi
Lee ushamuacha? 😅😅Am good beibe
Nikajua jimbo limesharudi kwa mtakatifu jamani
Nakuja kucheza FIFA
Mashaallah 🤩#nostalgia #2011View attachment 2038013
Sigombei tena,nimestaafu.Am good beibe
Nikajua jimbo limesharudi kwa mtakatifu jamani

Haya mambo ya dhambi achaneni nayo! Huwezi kuikimbia dhambi usipokula, utakunywa ama kuvuta!Na wewe endelea kuamini kwamba kuna uafadhali katika dhambi na wakati wote wasipotubu wanaenda motoni...
Anataka uwekemahondaw kwani anasemaje
Daaah ila wewe unadeal na vya pemben kabisa 😃😃Nakuja kucheza FIFA
😀😀😀😀😀Nasema hiviiii ...Paja hilo pajaaaahh!!!
Kuna watu pamoja na dhambi zao wanajihesabia haki .Haya mambo ya dhambi achaneni nayo! Huwezi kuikimbia dhambi usipokula, utakunywa ama kuvuta!
Usitake kujua ni kitu gani ila dhambi’s are there to stay!
Maksi napewa ngapiMsalimie mpishi