Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sema kwenye 70% umemuoneampe hongera zake
Sema kwenye 70% umemuoneampe hongera zake
Hatak bhana

Hahahaaa... Badae tena ntakuelekeza vingine vingi vingiiiiiiii!!@mahondaw ndo kanipa maelekezo namna ya kuandaa
Uliposema kuna dhambi hata kuzitamka haishtui,,ukatoa na mifano wa kukulana ..ulikuwa unamaanisha nini mkuu?Unachekesha sasa.. wapi nimesema kuna dhambi bora ? Nimeweka aina ya dhambi katika ma group.. kuna mfano uzinzi ni dhambi mtu anafanya katika mwili ( dhambi inayofanyika ndani ya mtu) kasome korinto, kuna dhambi against Mungu, na kuna dhambi against ndugu..
elewa hivi dhambi ni roho, na elewa kila roho ina weight yake..
Kumkufuru Roho Mtakatifu unaelewa maana yake sasa ?
Kwa ufupi kumkufuru Roho Mtakatifu ni kufikia hatua ya kukataa msamaha wa Roho na conviction ya dhambi katila mtu husika.. na sio based on action ya mtu
Vinavyowafaaa ntawaoneshaa hapa vingine vinabak kwetuHahahaaa... Badae tena ntakuelekeza vingine vingi vingiiiiiiii!!
Kumbe mbebez wa valentina yupo humu???Huyu anataka kukugombanisha na mubeibee wakooo



Doh!
Ulikuwa wapi...yupo ngoja amtagKumbe mbebez wa valentina yupo humu???Doh!
Na mimi naruhusiwaa kuweka makopa?
Sasa we mpishi ndo umempunguzia banaSema kwenye 70% umemuonea

AmekubaliMuulize
Lakini ilikuwa kila anachosema niweke nafanya ...Sasa we mpishi ndo umempunguzia bana![]()
HaweziAmekubali
MmmhLakini ilikuwa kila anachosema niweke nafanya ...
Leo umeamua![]()
Kwa video callMmmh
Akimtag unistue!!Ulikuwa wapi...yupo ngoja amtag

Wala usijaliiiAkimtag unistue!!![]()