Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unachekesha sasa.. wapi nimesema kuna dhambi bora ? Nimeweka aina ya dhambi katika ma group.. kuna mfano uzinzi ni dhambi mtu anafanya katika mwili ( dhambi inayofanyika ndani ya mtu) kasome korinto, kuna dhambi against Mungu, na kuna dhambi against ndugu..

elewa hivi dhambi ni roho, na elewa kila roho ina weight yake..

Kumkufuru Roho Mtakatifu unaelewa maana yake sasa ?

Kwa ufupi kumkufuru Roho Mtakatifu ni kufikia hatua ya kukataa msamaha wa Roho na conviction ya dhambi katila mtu husika.. na sio based on action ya mtu
Uliposema kuna dhambi hata kuzitamka haishtui,,ukatoa na mifano wa kukulana ..ulikuwa unamaanisha nini mkuu?
 
Back
Top Bottom