Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipe mwenyew mkononi, huyo ataniibia
FB_IMG_16388969245677004.jpg
 
Nafunga ukurasa wa mambo yasiyotakiwa humu, kuanzia muda huu hadi siku ya mwisho ya uhai wangu, nitakuwa mkimya ndani ya huu uzi hata nichokozwe vipi,
Samahan kwa waliokwazika sisi ni binadamu sote tuna mapungufu, kwahiyo tuvumiliane.

Uzi wa selfika huu, na tuselfike zaidi.

Uzi wa selfika yeah' too much memes nenda Uzi wa vituko.

Kwa siku usizidishe memes 3.

Usinijibu vbaya maana nitakubonda 🤣
 
Nafunga ukurasa wa mambo yasiyotakiwa humu, kuanzia muda huu hadi siku ya mwisho ya uhai wangu, nitakuwa mkimya ndani ya huu uzi hata nichokozwe vipi,
Samahan kwa waliokwazika sisi ni binadamu sote tuna mapungufu, kwahiyo tuvumiliane.

Uzi wa selfika huu, na tuselfike zaidi.

Na wale wanaoresist wajitahidi kuanzisha mada zao huko.

Hapa ni picha tu.


Mimi niliyemkwaza yeyote apambane na hali yake.
 
Back
Top Bottom