Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Asante sana mama AnginaMbona rahisi tu mimi wala siyo expert
Fanya kama hivyo kwenye pichaView attachment 2034845View attachment 2034846

Asante sana mama AnginaMbona rahisi tu mimi wala siyo expert
Fanya kama hivyo kwenye pichaView attachment 2034845View attachment 2034846

yani nimekuja fasta fasta nikajua umetuma picha yako....kumbe umetuma mvua![]()

Umeanza tabia za Heaven Sent![]()
Wale wa jana ukute nao walikaa kusubiri uweke pichaWewe kabla mwaka uishe, lazima nitakukoa makonzi



Hii picha hata mimi nimeisevu mkuu. Iko mahali sefu kwenye cloud

Wale wa jana ukute nao walikaa kusubiri uweke picha![]()
Mtumishi, siku ukiselfika uzi huu utawaka moto wallahi!Wewe kabla mwaka uishe, lazima nitakukoa makonzi
Mbona mimi sikupata? Acha kamba mtumishiNiliwatumia PM woteeee![]()

Mtumishi, siku ukiselfika uzi huu utawaka moto!
Mbona mimi sikupata? Acha kamba mtumishi![]()
Uwongo hatakama ni wa utani ni zambi.Mbona mimi sikupata? Acha kamba mtumishi![]()
Muache kumpiga mabom ona sasaSi umefunga PM Mtumishi?