Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Enzi zetu....wengi wenu hapa bado hamjazaliwa...
Umesharudi kutoka kula bata Visiwani?

Tulikua tunaangalia kwenye kumbi maalumu za Video Hahaa! Inaenda Kasi mnoooo nakuzeeka tunazeeka aseeh!Enzi zile watoto wakikuta hiyo Blood Sport (1988) imewekwa na kuna pia Commando (1985) pembeni basi hata kula wanasahau; na TV bado hazijaenea kivile. Miaka imekimbia sana aisee. Imagine madogo waliozaliwa 1985 wanatuita baba sasa hivi nao eti watu wazima na familia zao![]()
Hebu kwenda huko!Tulikua tunaangalia kwenye kumbi maalumu za Video Hahaa! Inaenda Kasi mnoooo nakuzeeka tunazeeka aseeh!
Enzi zetu....wengi wenu hapa bado hamjazaliwa...
View attachment 2034596
Hebu kwenda huko!
Uzee mtaufikia tu mna haraka ya nini?






kweli jamani nikiimagine kipindi hiko niko kadogoooo nasasahivi ngachoka!!

Utawahi?nilikua nina miaka 5


Hii ya sasa haina filter.
Ile ya mwanzo amekupiga kamba,
Ina filter na kitandani hakuna shuka,ni godoro tu.



Hawa watoto wa sasa hivi inabidi tukae nao kitako kuwaeleza dunia ilivyokua aseeEnzi zile watoto wakikuta hiyo Blood Sport (1988) imewekwa na kuna pia Commando (1985) pembeni basi hata kula wanasahau; na TV bado hazijaenea kivile. Miaka imekimbia sana aisee. Imagine madogo waliozaliwa 1985 wanatuita baba sasa hivi nao eti watu wazima na familia zao![]()
Weka na ile uliyopiga na mama yangu mpendwa mama Zoe.Ameeen![]()
Asante sn boss wanguSatoh Hirosh karibu kitumbua asee pamekucha kijana wako najiandaa kuingia kibaruaniView attachment 2034571
MashukaKijana wa hovyo hovyo ndio anahamuka aingie kwa pilato.
c. c Satoh Hirosh View attachment 2034544View attachment 2034545View attachment 2034551
Mashuka meupe,chai ya laki,paved block Kwa house huko nje,bustani nzuri,maisha yanataka nn tena ndugu yangu.. hongera Sana mkuuKijana wa hovyo hovyo ndio anahamuka aingie kwa pilato.
c. c Satoh Hirosh View attachment 2034544View attachment 2034545View attachment 2034551
Utawahi?
Si ajabu hata mama zenu ndo wako fomu wani au la saba kabisa![]()
yani nimekuja fasta fasta nikajua umetuma picha yako....kumbe umetuma mvuaView attachment 2034569
Makongo Road

