ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,598
- 127,116
Mzee tushazeeka yani, life is so fast yani. Sio poa!Enzi zile watoto wakikuta hiyo Blood Sport (1988) imewekwa na kuna pia Commando (1985) pembeni basi hata kula wanasahau; na TV bado hazijaenea kivile. Miaka imekimbia sana aisee. Imagine madogo waliozaliwa 1985 wanatuita baba sasa hivi nao eti watu wazima na familia zao [emoji15]