cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Weuweee
Weuweee
Hii na ya marioo inatosha,kuna kipindi niliimbisha home hadi wakanishtukia nimepatwa na niniView attachment 2034375
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app






Afu nlidhan ni peke angu,Harufu yake ndio sipendezwi nayo.



EwaaaahHaha..kichwani kuna elimu!
Nenda ukalime shape yote inaishia shamban





Duuuh huu mwaka, wazaz wangu wote wawili wako 4m 3.Enzi zetu....wengi wenu hapa bado hamjazaliwa...
View attachment 2034596




Maexpert wa kulala bila kutandika ndio tunaojuawee kumbe? Mbna hata sikujua yaan
,hauwezi ukajua kama hujapita stage ya kulala bila kutandika godoro.Nilikuwa nishazaliwaEnzi zetu....wengi wenu hapa bado hamjazaliwa...
View attachment 2034596
Maexpert wa kulala bila kutandika ndio tunaojua,hawezi ukajua kama hujapita stage ya kulala bila kutandika godoro.
Hcho kitanda hakijatandikwa.



yaan hata sikujua chchte mie, ndo umenifungua akili sasa.Katika ubora wakoNeno la Mungu ni lina Uhai, Nuru, Nguvu na ni funguo ambao unaweza fungua kila kitu unacho kijua hapa duniani with right revelation pia nafsi yako na roho yako kila inavyopokea ufunuo wa mpya wa Neno vinazidi kung'aa.. That why Yesu kuna mahala anasema..
Mathayo 5:14
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.
Mathayo 5:15
Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.
Mathayo 5:16
Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
Mkuu wangu SHIMBA YA BUYENZE tupi pamoja.. Sie ni nuru ya ulimwengu na nuru itazidi kuangaza kadri neno la Mungu linavyo ingia kwa wingi ndani yetu na kwa mafunuo sahihi..
Pamoja sana mkuu wangu, mie Kijana wa hovyo hovyo

Maexpert wa kulala bila kutandika ndio tunaojua,hauwezi ukajua kama hujapita stage ya kulala bila kutandika godoro.
Hcho kitanda hakijatandikwa.


napenda kulala kitanda kilichotandikwa lakini mvivu wa kutandika adi mwishoMimi kuna muda nikivurugwa huwa nalala tu hivyohivyo bila kutandika.napenda kulala kitanda kilichotandikwa lakini mvivu wa kutandika adi mwisho
We itakuwa huwa unatandika kila siku.yaan hata sikujua chchte mie, ndo umenifungua akili sasa.
Uwe unanipigia na tunapigiana nikupe chakula kisicho goshiwa 😁😁😁Katika ubora wako![]()
Siku hizi ushaacha kunipigiaUwe unanipigia na tunapigiana nikupe chakula kisicho goshiwa![]()
.Mimi kuna muda nikivurugwa huwa nalala tu hivyohivyo bila kutandika.
Ila najua kutandika sana kitanda,,basi tu kuna muda nakuwa nimechoka sana.


mimi uwa nalala tu kuna siku unaweza kuta unastuka umesinzia sitting room kufika chumbani ujatandika unajirushia tu.