Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Neno la Mungu ni lina Uhai, Nuru, Nguvu na ni funguo ambao unaweza fungua kila kitu unacho kijua hapa duniani with right revelation pia nafsi yako na roho yako kila inavyopokea ufunuo wa mpya wa Neno vinazidi kung'aa.. That why Yesu kuna mahala anasema..

Mathayo 5:14
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

Mathayo 5:15
Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

Mathayo 5:16
Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Mkuu wangu SHIMBA YA BUYENZE tupi pamoja.. Sie ni nuru ya ulimwengu na nuru itazidi kuangaza kadri neno la Mungu linavyo ingia kwa wingi ndani yetu na kwa mafunuo sahihi..

Pamoja sana mkuu wangu, mie Kijana wa hovyo hovyo
Katika ubora wako
 
Back
Top Bottom