Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,948
- 136,701
Hii na ya marioo inatosha,kuna kipindi niliimbisha home hadi wakanishtukia nimepatwa na niniHalafu sijui wanawake wote ndivyo mlivyo.
Hivi kwa nini mnapenda kutuma ujumbe kupitia nyimbo?
Kama mmegombana usiku sasa utajuta hizo message unazopata, zinapigwa nyimbo flani unaona kabisa huu ujimbe wangu
We ni mmoja wapo.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app







