Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu sijui wanawake wote ndivyo mlivyo.
Hivi kwa nini mnapenda kutuma ujumbe kupitia nyimbo?

Kama mmegombana usiku sasa utajuta hizo message unazopata, zinapigwa nyimbo flani unaona kabisa huu ujimbe wangu

We ni mmoja wapo.
Hii na ya marioo inatosha,kuna kipindi niliimbisha home hadi wakanishtukia nimepatwa na nini
Screenshot_20211206-003001.jpg


Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Hii na ya marioo inatosha,kuna kipindi niliimbisha home hadi wakanishtukia nimepatwa na niniView attachment 2034375

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣
Siku moja natoka zangu matembezi night, eti ile kufika geto inaanza kupigwa ile nyimbo ya jolie bado mapema.
Dj aliirudia mpaka nikajistukia, halafu nilikua nimekula beer.
Msitufanyie hivyo jamani.
 
Hapo kwenye Neno la Mungu unanikosha sana mkuu. Nilikuwaga na tabia hiyo nikaja kuacha. Itabidi nianze tena. Ni kama vile Mungu Amekutumia Kijana wa Hovyo Hovyo kunikumbusha kuanza tena. Na naanza kukicha tu Mungu Akipenda. Ubarikiwe sana aisee
Neno la Mungu ni lina Uhai, Nuru, Nguvu na ni funguo ambao unaweza fungua kila kitu unacho kijua hapa duniani with right revelation pia nafsi yako na roho yako kila inavyopokea ufunuo wa mpya wa Neno vinazidi kung'aa.. That why Yesu kuna mahala anasema..

Mathayo 5:14
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

Mathayo 5:15
Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

Mathayo 5:16
Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Mkuu wangu SHIMBA YA BUYENZE tupi pamoja.. Sie ni nuru ya ulimwengu na nuru itazidi kuangaza kadri neno la Mungu linavyo ingia kwa wingi ndani yetu na kwa mafunuo sahihi..

Pamoja sana mkuu wangu, mie Kijana wa hovyo hovyo
 
Neno la Mungu ni lina Uhai, Nuru, Nguvu na ni funguo ambao unaweza fungua kila kitu unacho kijua hapa duniani with right revelation pia nafsi yako na roho yako kila inavyopokea ufunuo wa mpya wa Neno vinazidi kung'aa.. That why Yesu kuna mahala anasema..

Mathayo 5:14
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

Mathayo 5:15
Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

Mathayo 5:16
Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Mkuu wangu SHIMBA YA BUYENZE tupi pamoja.. Sie ni nuru ya ulimwengu na nuru itazidi kuangaza kadri neno la Mungu linavyo ingia kwa wingi ndani yetu na kwa mafunuo sahihi..

Pamoja sana mkuu wangu, mie Kijana wa hovyo hovyo
Asante sana ndugu yangu. Mungu Akubariki kwa utumishi wako huu
 
Enzi zile watoto wakikuta hiyo Blood Sport (1988) imewekwa na kuna pia Commando (1985) pembeni basi hata kula wanasahau; na TV bado hazijaenea kivile. Miaka imekimbia sana aisee. Imagine madogo waliozaliwa 1985 wanatuita baba sasa hivi nao eti watu wazima na familia zao
 
Back
Top Bottom