madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,498
- 2,925
Yan imekua balaa na dar hiiMvua inatuchosha asubuhi hii
Yan imekua balaa na dar hiiMvua inatuchosha asubuhi hii
Huwezi kukosa wa kukukojoza weye











hata mimi nilikuwaga nasema ivyo ivyo nilikuja kujikuta nimedata kwa ka. fala fulani tu hakana hata mzigo kiivyo na kananiendesha hatari ndipo nilipogundua maisha hayana formula
Hahahaha
Hii ya kuwa not single single ndo inatutokea puani sasa
bado unadili na nguo dada?
Mambo mtoto mzuri.
Kuwa mpole..
Umegoma kuamini kwamba natembelea makalio? Picha zangu zote nilizopost ziangalie nimepigia wapi.
Watoto wazuri mjini hatupandi daladala weweView attachment 1224121
Hautanimiss maana tutakutana MMU
croped.
If you want ma full picture say hollaaaaaa! Hahaha
Watu8 kamu zisi wei !
Smart911 love mimi ndruukìiiiii tehteh View attachment 1223668

ukiachana na huyu smart911 girl i got your backNitakutafutaNdiyo ndiyo
German engineering hiyo🔥🔥🔥
Unaweza ukateleza ukajikuta umeangukia kwenye mahusiano ya watu
Una shingo amazing sanaaVP huko kwenu hii mvuaaView attachment 1224084

Weekend hii imenikuta nyumbani kwa wazee! Kibarid kinapuliza sio mchezo. Vp hali ya hewa uko mlipo wakuu?View attachment 1224124
Wacha bwana!!Ukifika kigamboni kata kulia kunagar imepaki ukienda mbele kidogo utamkuta jamaa anasoma gazeti basi kata kushoto utakuta watoto wanacheza vuka mtaro pembeni utakuta mama anachoma vitumbua basi hapo utakua umekaribia
Ukifika nipigie cm
Nitakutafuta