Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanyange tumeni kama hii basi mafisi yapate kupona... Mamende yameze mate
IMG_20191005_135641.jpeg
 
Kwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.


View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.
Uwiiiii, hii hata mimi nakaa mbali.
 
Hahahaha unatembelea makalio siyo?? Anyway naona lile jeshi linaanza kupungua taratibu kwenye huu uzi sijui na mimi nijiengue tu maana naona ni wiki sasa sisomi nyuzi nyingine nashinda humu tu daah nipunguze sasa aise niwe naingia mara moja moja tu, see you in MMU.
Nimekumiss mimi.
 
Back
Top Bottom