Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
asubuhi njema Hornet
Yani ni full morning glory...Yaani.
Wazee wajumuia walijue hili

Kufake kuna gharama mkuu maana itabidi uishi kwenye kivuli usichokiamini
Mbona hujaniambia mapema ?Nipo karibu na kwenu
Haka kamvua ka dsm.... dah
Good morning jf
Piga maombi.
Na wewe si utakuwepo kuwapokea wale ng'ombe eeh![]()



mimi tena nitakuwa mstari wa mbele kabisa kuwapokeaMorning dear
Tusiokuwa na pakujojolea tunatia huruma tu
Hahaha amua kuiweka ndani mkuu. Hata ukichacha inavumilia.Shida sio pisi shida kuchacha mkuu
Hahah muhimu kuvushana kwenye hì hali.Unaweza ukateleza ukajikuta umeangukia kwenye mahusiano ya watu
TUTAPATA TABU SANA
Hah..... ts possible mkuu. Huyu mzigua hadanganyagi.Huwezi kukosa wa kukukojoza weye
beautiful with brainHakii nimeachwaa mimii
Smart911 love mara moja moja kujitoa ufahamu jamani kha! View attachment 1223683
iyo wewe ni boxer
