shankal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 373
- 327
Haaahaaahaa hongera boss asubuhi tu kimewaka
Morning guys View attachment 1224076
Morning guys View attachment 1224076
Of course jamaanursing the hangover
Hahahaha unatembelea makalio siyo?? Anyway naona lile jeshi linaanza kupungua taratibu kwenye huu uzi sijui na mimi nijiengue tu maana naona ni wiki sasa sisomi nyuzi nyingine nashinda humu tu daah nipunguze sasa aise niwe naingia mara moja moja tu, see you in MMU.Kwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.
View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.
Jamaa natoa Lock tu naenda kibaruaniHaaahaaahaa hongera boss asubuhi tu kimewaka
Jana kanifichia mdada alikua nae pale 5N
Matawi haya siyawezi aisee ache nipambane na wenye vitz,passo,funcargo,IST and the likeKwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.
View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.
😆😆hata ya black & white kweli?!Nguo zangu wanazijua.![]()
Jamaa natoa Lock tu naenda kibaruani
Mvua inatuchosha asubuhi hiiVP huko kwenu hii mvuaaView attachment 1224084
Hahahaha unatembelea makalio siyo?? Anyway naona lile jeshi linaanza kupungua taratibu kwenye huu uzi sijui na mimi nijiengue tu maana naona ni wiki sasa sisomi nyuzi nyingine nashinda humu tu daah nipunguze sasa aise niwe naingia mara moja moja tu, see you in MMU.




Wote nyie ni mama wachungaji
doh!😆😆😆hapana huyu wa last week
bado unadili na nguo dada?
aisee na mi na wivu wangu nimegoma kuamini😁😁😂😂😂Kwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.
View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.