Okay.Nafurahi kusikia.
Nakutumia lokesheni pm
Nna allergy...Wababa nyie hamuendi jumuia.
Mimi hata siku ambayo jumuia ni nyumbani kwangu, Mr anaamka anaandaa kabla watu hawajaja anarudi zake kulala.
Sijui mna nini ninyi watu.
Niliifanya ila kababy alikuwa bado mdogo sana hivyo alikaba sana.
UnakichaaView attachment 1223962
Ukiangalia zinafanana?
View attachment 1223963
Halafu ya jana haikuwa suruali. Nilikuwa inaishia mapajani.
Wacha weeMahaba yamezaliwa hapa kwa taarifa yako sasa...
Kuna mtu nimeona anaomba aombewe apate nguo mpya ndo atatupia,,,,, hata mi mniombeeEwaaa, bado jioni muda wa bata.![]()
Nilimpa raha kote kwenye gari na valanda,, kama mfungwa aliyekutana na kahabakwa mitindo zaidi ya 7,
na maumbile nimejariwa si Haba,
Okay mkuuu. Next time. Mimi sasa ntafanya ziara huko lakezone
Oooh karibu sana pande za shy town
Ukifika kigamboni kata kulia kunagar imepaki ukienda mbele kidogo utamkuta jamaa anasoma gazeti basi kata kushoto utakuta watoto wanacheza vuka mtaro pembeni utakuta mama anachoma vitumbua basi hapo utakua umekaribiaHebu nielekeze tena, nimepotea njia.
Kuna mtu nimeona anaomba aombewe apate nguo mpya ndo atatupia,,,,, hata mi mniombee









zihurumie mbavu zangu jamani.
Ukifika kigamboni kata kulia kunagar imepaki ukienda mbele kidogo utamkuta jamaa anasoma gazeti basi kata kushoto utakuta watoto wanacheza vuka mtaro pembeni utakuta mama anachoma vitumbua basi hapo utakua umekaribia
Ukifika nipigie cm
















Nikipost hizo nitajulikanaNaomba unibariki Basi nicheke![]()

ndo huyu wa jana ambaye hukutupa mrejesho mzee?!Napost kwa niaba...!!! Sitaki ramli chonganishiView attachment 1224048
Si unaficha sura jameniNikipost hizo nitajulikana![]()