Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amini amini nawaambia,kuna boya mmoja ana picha yako kwenye simu yake halafu yupo na marafiki zake anawaonesha huku anasema "Huyu ni mchumba wangu" ,wakat huo hujawahi hata kumsalimia hata mkikutana njiani


Maharia mpoo!! mnapangwa humu na ma manzi
Mkuu kausha. Dah utatuuwa kwa presha.
 
Amini amini nawaambia,kuna boya mmoja ana picha yako kwenye simu yake halafu yupo na marafiki zake anawaonesha huku anasema "Huyu ni mchumba wangu" ,wakat huo hujawahi hata kumsalimia hata mkikutana njiani


Maharia mpoo!! mnapangwa humu na ma manzi
akuchukua yangu kila akitaka kuonesha kitatokea kiza
 
Huku tayari... Subiri nusu saa kisha nipe mrejesho
Imekata mkuuu. We noma
1570265002184.jpeg
 
Back
Top Bottom