Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Aaseee bhakonyofu habho. Fikajhapo na fimo.Okoa muda wako.
Kuna watu wasipobishana hawajisikii vizuri,,,
Na wanachoandika sasa ni pumba tu na mashed ya alizeti.
Mma ngatele.
Aaseee bhakonyofu habho. Fikajhapo na fimo.Okoa muda wako.
Kuna watu wasipobishana hawajisikii vizuri,,,
Na wanachoandika sasa ni pumba tu na mashed ya alizeti.
Mma ngatele.
Naloli bhakonyofuAaseee bhakonyofu habho. Fikajhapo na fimo.





Ngoja nikamchungulie aisee.Yupo namuonagaonaga kule![]()





My Ex, I am just having fun here...nothing serious lovUzuri wako ex-mchumba sijawahi kukuona una battle humu na mtu![]()

Mekula MakiwendoMimi kuna maneno haya jamani..Mekula, Mecheka siyapendi jamani.. Atumie Mwanamke/Mwanaume aiseee naweza nisijibu kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app

Ila kuna watu wamechanganyikiwaTeh hoja my foot! Haya washurutisheni viongozi wenu waweke sheria ya kukamata mashoga na kuwafunga kama wanavyofanya kwa watumiaji wa madawa ya kulevya kisha waanze kuwanyonga na kuwatupa halafu ndiyo tutajua kati ya mimi na wewe hapa nani ana hoja na nani ana mihemko!





Hunaga muda wa battle, unajipigia tu Jack Daniels zakoMy Ex, I am just having fun here...nothing serious lov![]()






Hata mimi nimedandia treni kwa mbele tu...ila nadhani ni hayo mambo ya "tyuuu na jomoni"![]()








I am sorry miss,, i don't mean to offend ya or anything like that,,Bora wewe uliyekuwepo tangu mwanzo useme! Wale wanafiki wanaojifanyaga wanachukia ushoga ilihali wao wana madhambi yao makubwa kuliko hiyo wangekaa kimya hata sijui wangepungukiwa nini, sisi wengine hatuwezi vumilia kuona lijitu lizinzi limeshupaza shingo linamtukana shoga, like nigga what is the fvcking difference between you two?
Kwa sababu ukichunguza kwa umakini ushoga unaanzia kwenye uzinzi watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa wala ushoga usingeenea kwa kiasi hiki! Kwa sababu ushoga bado haujapokelewa kwa mikono miwili kwenye jamii nyingi sana tena sana hivyo ni ngumu sana wanaume wawili mabikira eti wafunge ndoa wakashikishane ukuta!
Ushoga kwa asilimia kubwa huanzia na kufanyika kwenye mazingira ya uzinzi ila hapa watu wanajifanya wanafiki kama vile dhambi wanazofanya wao ndiyo ndogo sana! Wazinzi ukiwaambia watakuletea upumbavu wa sijui kuuziwa mbuzi kwenye gunia na takataka nyingine kama hizo na wanaamini kwa vile watu wengi duniani wanafanya basi eti ni halali!View attachment 2031872


sawa sawa kila mtu abaki na anachokiamini mkuu....ausioSi mnaona sasa! Yaani hadi Shetani mnamvisha utakatifu kwamba eti hata dhambi ya ushoga haimuhusu wakati Mungu mwenyewe kawaacha wanaishi na wengine anawabariki na anawapa nafasi ya kutubu vinginevyo si angewaua tu chap!

.......Bora mwanamke mkuu naweza vumilia....mwanaume unaandika tyuu,mara jomoni,mie mechoka
![]()
















Ngoja nikuhadithie mimi japo hujaniuliza







Aahh huyo ni genius siku zote kwani we humsomagi hata kwenye comments zake nyingine? Na nina uhakika haujawahi mkuta kwenye nyuzi nyingine akiwa anajisifia mbona utampenda maana anaonaga wengine wote ni vilaza yeye ndiyo yuko vizuri na anajua kuhusu kila anachokiongelea!Ila kuna watu wamechanganyikiwa
Imagine mtu anasema kaa kimya![]()