Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Ngoja nikasakeTayari Nishaweka! Usiwaze nitafanya hivo!!



Wikendi njema...
Ngoja nikasakeTayari Nishaweka! Usiwaze nitafanya hivo!!



Hahaa.. weekend hii jamani khalaaa halaaa!!Atawezaje kujibu wakati anapelekewa moto; na pengine gwaride limemwelemea?![]()
Ni kweli unapata hii kitu au umeibia tu watu wanapiga vyombo?


sasa ni fita imekuwa shuleniWewe style yako pendwa ni ipi?



hata sijawahi kufanya hizo style, huwa naskiaga kua kifo cha mende, ni kwa wanaoanza tasnia.Nakuja kula, mlongo.



Bia tamu eeeh?
Totally wrong!! !hata sijawahi kufanya hizo style, huwa naskiaga kua kifo cha mende, ni kwa wanaoanza tasnia.

Safi, sna me apo K-vant tu👊.
Sikuangushi shoo mimi sarakasi zenu Vijana za geuka huku geuka kule inama mara binuka chuchumalia juu siziwezi!!!!!ebooooh wee, unaniangusha sasa.
Unakuta hata yeye hawezi kukuvumilia cha pombe.mimi siwez mvumilia shoga.....
Kuna baba nimemkumbukaAmbaye unajijua daftari lako halipo hapa, tafadhari njoo mbele usinipotezee muda,
Sir wa maths huyu, c eti dada Saint Anne View attachment 2031490



