Halafu hili la kuona dhambi moja ni kubwa kuliko nyingine nalo ni tatizo lingine tulilonalo wanadamu wengi. Anyway wacha nisiliongelee sana ila maandiko yako wazi kabisa.







Zote ni Kenny Rogers paragraph ya pili unaitwa coward of the county ya kwanza unaitwa gamblerNani kaimba huu wimbo na unaitwaje
Haha, haujafeli mkuu sema tu dizain usela mwingi.Hahaa yeah mimi ni kinda tom boy pops. Ila kwenye mapenzi nishafeli ndiyo tatizo.
Una mdogo wako tom boy ama gay![]()
ausioTuvumiliane.
Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.
Ni kama wengine tunavyopost mapicha picha humu,mengine ya hovyo,,ila tunavumiliwa tu hivyohivyo na wengine.
mbombo ngafuHahaa yeah mimi ni kinda tom boy pops. Ila kwenye mapenzi nishafeli ndiyo tatizo.
Una mdogo wako tom boy ama gay![]()
hii dhambi ya kuandika tyuu kwa kidume kubwa sanaHalafu hili la kuona dhambi moja ni kubwa kuliko nyingine nalo ni tatizo lingine tulilonalo wanadamu wengi. Anyway wacha nisiliongelee sana ila maandiko yako wazi kabisa.




Ndiyo interest zinatofautiana.ausio
Inashangaza sana aisee.Halafu hili la kuona dhambi moja ni kubwa kuliko nyingine nalo ni tatizo lingine tulilonalo wanadamu wengi. Anyway wacha nisiliongelee sana ila maandiko yako wazi kabisa.
Mimi mwenyewe huwa naiona kwenye baadhi ya saluni imebandikwa, naishia kusmile, utafikiri ndiyo mimi kweli sasa



sasa weka ya ukweli.