Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli matom boy hawako kwenye hiyo society, japo kuna watu wanaamini kuwa mtu ukiwa tu tom boy basi wewe ni lesbian kitu ambacho si kweli. Kuwa tom boy haihusiani na sexual orientation ya mtu, hiyo it's all about mwanamke kuwa na muonekano wa kiume na baadhi ya tabia za kiume lakini wapo matom boy ambao wanagegedwa kama kawaida tu.
Kwa hiyo tukubaliane kwamba dota ni ana muonekano wa kiume(tomboy) lakini mgegedo ni kama kawaida., afadhali

Baada ya kusema hayo sasa huyo dogo sipendi kusoma comments zake. Kila nikimsoma then nikimcheki dogo wangu najisikia vibaya sana. The best thing ni kubofya ignore ili nisiendelee kuikwaza nafsi yangu, first time na-ignore mtu.
 
929B3D3F-C62C-4FF5-997A-CC09FD0FD934.jpeg
 
Waambie hao na wanadhan kila Tom girl n gay, kumbe n hormonal imbalance. Ukute hata u gay wenyewe haujui .

Huwa nataman sana nianzishe mada niwape watu Elimu, tatzo modes watafuta uzi wangu au kunipa Ban,
Yeah haya mambo yameshatolewa elimu sana lakini kwa jamii yetu hii itakuwa ngumu kueleweka. Kuna muda ukitafakari kwa kina inabidi mtu ukubali tu maana hatuwezi lazimisha kwamba fulani ni mwanaume rijali halafu akaingia kwenye ndoa akashindwa kufanya yale yanayotakikana ikawa taabu.
 
Sisi tuna practicals za kutosha kutufanya researchers kama mtu kajaza yutong za kutosha si tayari inamfanya kuwa researcher, hasa kama kila adventure aliyofanya alikuwa kwenye utafiti. Pa kukojolea na pa utam...dota bwana!
Aah mnasemaga hivyo hivyo. Sisi kwenye masuala ya mgegedo hatuwakatalii ninyi danganyaneni muwezavyo ila kwenye masuala ya uzazi please give us a break.
 
Kwa hiyo tukubaliane kwamba dota ni ana muonekano wa kiume(tomboy) lakini mgegedo ni kama kawaida., afadhali

Baada ya kusema hayo sasa huyo dogo sipendi kusoma comments zake. Kila nikimsoma then nikimcheki dogo wangu najisikia vibaya sana. The best thing ni kubofya ignore ili nisiendelee kuikwaza nafsi yangu, first time na-ignore mtu.
Hahaa yeah mimi ni kinda tom boy pops. Ila kwenye mapenzi nishafeli ndiyo tatizo.

Una mdogo wako tom boy ama gay
 
cc kuna watu wakiona ID yangu wanaweweseka sana,
Yaan kila nacho comment hata hakihusiki na hilo, utaona mtu ananivaa juu juu kwa suala hilo, had huwa nashangaa San inakuaje.

Kna member humu yupo m1, anapenda San kunichokoza tena ktk nyuzi zingne, yaan kila nacho comment ananijia na matus, kejeri, yaan hata nkitoa hoja ya maan, ye lazima anitus tena kwa personal attacks,

Nliamuamu kumpotezea tyuuh, tena saiv ndo kabisa, jua kali, mgao wa umeme na maji, mbna kinaumana,

Tuvumiliane tyuuh hakna namna.
Tuvumiliane.

Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.

Ni kama wengine tunavyopost mapicha picha humu,mengine ya hovyo,,ila tunavumiliwa tu hivyohivyo na wengine.
 
Back
Top Bottom