Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Umemuamini kweli???kasema anaweka soon, sipati picha utavoleft mazima, ole wako uje na ID mpya, tutakujua tyuuh
Alishaweka?

Umemuamini kweli???kasema anaweka soon, sipati picha utavoleft mazima, ole wako uje na ID mpya, tutakujua tyuuh

hahahahaHahaa yeah mimi ni kinda tom boy pops. Ila kwenye mapenzi nishafeli ndiyo tatizo.
Una mdogo wako tom boy ama gay![]()
Nitakuita siku yenyewe, uwe shuhuda wa jinsi Mtakatifu anavyoiaga JF; ole wake arudi. Hawezi kuni-dare![]()





Usilinganishe pombe na ufiraji mtakatifu.Tuvumiliane.
Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.
Inategemea mtu anaichukulia vipi pombe.Usilinganishe pombe na ufiraji mtakatifu.

Kenny Rogers 👊🏾👊🏾You better know when to hold up,,
know when to fOld up
Know when to walk away
Know when to run
Promise me son not to do the things I've done
Walk away from trouble when u can
Know it doesn't mean you are weak if you turn the other cheek,, son as i hope you understand
Son you don't have to fight to be a man
My favorite lines from county songs![]()
Oohh ulivyosema ukimuangalia mdogo wako unajisikia vibaya nikajua unaye mdogo mwenye hizo tabiaSina ninayemfaham kwetu ni gay asee.
Hujafelihujapata tu kidume cha kukupeleka kibohehe! Kila mtu ana mtu wake ujuwe.


Halafu hili la kuona dhambi moja ni kubwa kuliko nyingine nalo ni tatizo lingine tulilonalo wanadamu wengi. Anyway wacha nisiliongelee sana ila maandiko yako wazi kabisa.Tuvumiliane.
Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.
Linganisha kufi** na kunywa pombe dota, naomba ulinganishe. Yani mtu awe na mtoto mfirwa** na mwingine mwa pombe...hem niacheni nizione ndogo na zingine kubwa!Halafu hili la kuona dhambi moja ni kubwa kuliko nyingine nalo ni tatizo lingine tulilonalo wanadamu wengi. Anyway wacha nisiliongelee sana ila maandiko yako wazi kabisa.
Nani kaimba huu wimbo na unaitwajeYou better know when to hold up,,
know when to fOld up
Know when to walk away
Know when to run
Promise me son not to do the things I've done
Walk away from trouble when u can
Know it doesn't mean you are weak if you turn the other cheek,, son as i hope you understand
Son you don't have to fight to be a man
My favorite lines from county songs![]()
hahahahaha...aseeeOohh ulivyosema ukimuangalia mdogo wako unajisikia vibaya nikajua unaye mdogo mwenye hizo tabia
Haha unafikiri wewe ni wa kwanza kuniambia hivyo basi? Shida siyo hao wanaume shida ni mimi ndiyo nimeshindwa!
hahahaha...mkuu kwani kuna MTU wanamtindua marinda ?Linganisha kufi** na kunywa pombe dota, naomba ulinganishe. Yani mtu awe na mtoto mfirwa** na mwingine mwa pombe...hem niacheni nizione ndogo na zingine kubwa!
Siyo kunywa pombe tu mimi mwenzio nilijiapiza kabisa kuwa nikija kuwa na mtoto wa kiume ni heri awe hata jambazi nitamtetea kuliko awe shoga! Lakini mwisho wa siku tunajidanganya tu tukirejea kwenye maandiko tangu Yesu mwana wa Mungu alipokufa msalabani dhambi zote zimekuwa sawa na zote zinasameheka ukitubu isipokuwa dhambi moya tu ya kumdhihaki Roho Mtakatifu hiyo ndiyo haina msamaha!Linganisha kufi** na kunywa pombe dota, naomba ulinganishe. Yani mtu awe na mtoto mfirwa** na mwingine mwa pombe...hem niacheni nizione ndogo na zingine kubwa!