cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,168
Linaonekana tamu sana goma hiliii
Jf ina memba wengi,famous na wa muhimu.Ngoja sasa nianzishe kampeni ya Wanyaki wote mjumuike hapa tupambane mpaka Mama Mchungaji aselfike. Sema sasa shida itakuwa wewe kuondoka JF. Hilo halitawezekana. JF bila Saint Anne haitanoga wala. Labda useme utapumzika JF kwa wiki mbili hivi lakini siyo mazima. Mazima haiwezekani!
cc kuna watu wakiona ID yangu wanaweweseka sana,Sioni popote ulipopromote ,naona mlikuwa mkipiga tu stori.
Leo wamekuonea.







We endelea kusubiri meli kwenye stand ya daladala.



kasema anaweka soon, sipati picha utavoleft mazima, ole wako uje na ID mpya, tutakujua tyuuhI'm nobody.
Bila shaka amekukuna kunako mwasho



iv wee usiponichokoza hujisikii raha? Hebu niache bhana khaaah. Na wewe sometimes jifunze kuwa unapotezea tu inapobidi. Vinginevyo kila siku utakuwa kwenye vita vya kupambania huo ushoga wako humu. Choose your battles carefully. Mtu anayekuandama mtie kwenye iginoa listi na hutamsikia tena!cc kuna watu wakiona ID yangu wanaweweseka sana,
Yaan kila nacho comment hata hakihusiki na hilo, utaona mtu ananivaa juu juu kwa suala hilo, had huwa nashangaa San inakuaje.
Kna member humu yupo m1, anapenda San kunichokoza tena ktk nyuzi zingne, yaan kila nacho comment ananijia na matus, kejeri, yaan hata nkitoa hoja ya maan, ye lazima anitus tena kwa personal attacks,
Nliamuamu kumpotezea tyuuh, tena saiv ndo kabisa, jua kali, mgao wa umeme na maji, mbna kinaumana,
Tuvumiliane tyuuh hakna namna.


Ila hizo tyuuh zako na jomoni zinakera mpaka basi yaani 







Naleft mazima.
Mama malezi tafadhari, weka picha yako hapa.![]()
Ngoja sasa nianzishe kampeni ya Wanyaki wote mjumuike hapa tupambane mpaka Mama Mchungaji aselfike. Sema sasa shida itakuwa wewe kuondoka JF. Hilo halitawezekana. JF bila Saint Anne haitanoga wala. Labda useme utapumzika JF kwa wiki mbili hivi lakini siyo mazima. Mazima haiwezekani!
kasema anaweka soon, sipati picha utavoleft mazima, ole wako uje na ID mpya, tutakujua tyuuh
Hebu selfika basi Mama Mchungaji tuone mbivu na mbichi?Mtumishi acha hizo bana; mimi nitajipost, kazi ibaki kwao kuleft
Na wewe sometimes jifunze kuwa unapotezea tu inapobidi. Vinginevyo kila siku utakuwa kwenye vita vya kupambania huo ushoga wako humu. Choose your battles carefully.
Ni ushauri tu. Vinginevyo nyote mnaishia kuonekana kama wajinga tu na kuharibu utulivu, upendo na amani ya uzi huu.
Ila hizo tyuuh zako na jomoni zinakera mpaka basi yaani
![]()



ahsante kwa masahihisho Mr, 



Hebu selfika basi Mama Mchungaji tuone mbivu na mbichi?
Eeeeh wee mama malezi mbona sijaona, af nilipita sehem flan iv saloon kwa nje ya mlango nliona picha ya avatar yako,. Yaan nlihis nmekuona wee apo,Hujaiona tu?



Eeeeh wee mama malezi mbona sijaona, af nilipita sehem flan iv saloon kwa nje ya mlango nliona picha ya avatar yako,. Yaan nlihis nmekuona wee apo,![]()
Sisi tuna practicals za kutosha kutufanya researchersYaani siku hizi kigezo cha mwanaume kuwa researcher kuhusiana na masuala ya uzazi wa wanawake ni kutembea tu na wanawake wawili watatu basi naye anakuwa ameshawajua wanawake wote duniani![]()


kama mtu kajaza yutong za kutosha si tayari inamfanya kuwa researcher, hasa kama kila adventure aliyofanya alikuwa kwenye utafiti. Pa kukojolea na pa utam...
dota bwana!