Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kutoka ktk mjadala wa kisayansi hadi mjadala wa kidini.
Huu ni mtori, nyama ziko chini.
DJ waleteeeeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa!!!kwanini??? Hupendi ule mtelezo ama??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957]
Haha...Bamia ina utelezi fulani hivi kwangu huwa nauchukulia tofauti sana

Labda nikute bamia imewekwa kwenye mlenda zile mbegu zake ndo huwa nakula
 
Ndiyo interest zinatofautiana.
Wengine mnakunywa konyagi mnatapika,mnazimia na mnatuandikia humu na hatulalamiki.

Wengine humu tunaweka mipicha hata isiyo ya maana na tunabebishana na bado tunavumiliwa.

Wengine tunawavumilia humu,wanapost kila kitu yaani.

Ila unakuta walevi na wanywa pombe wanashindwa kuwavumilia wengine wanaopost mawazo yao mengine..mbona wao wamewavumilia.

Point ya muhimu ni tuvumiliane tu.
mimi siwez mvumilia shoga.....
 
Haha...Bamia ina utelezi fulani hivi kwangu huwa nauchukulia tofauti sana

Labda nikute bamia imewekwa kwenye mlenda zile mbegu zake ndo huwa nakula
Tehteh.. unauchukulia tofauti kivipi sasa!!???[emoji854][emoji854][emoji854]
 
Back
Top Bottom