Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,757
kwani nimekufata wapi ? 😼Mwanasayansi hewa hebu niwache 😏
kwani nimekufata wapi ? 😼Mwanasayansi hewa hebu niwache 😏
Mmmmmmmh
Hizi siku mbili tatu mmevurugwa sana nyie watu... Nawasomaga tu nawakosea majibu 😏Ukiwa na moyo mwepesi unaweza kujikuta unapiga nyeto Kwa kuangalia vidole
Kijana wa hovyo hovyo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Umetubania sura mkuu
Watuwache watu wa baiolojia tujadiliYaani siku hizi kigezo cha mwanaume kuwa researcher kuhusiana na masuala ya uzazi wa wanawake ni kutembea tu na wanawake wawili watatu basi naye anakuwa ameshawajua wanawake wote duniani
Ooh kumbe sikujua hilovifupi kama hivyo, hao cheza nao kwa umakini sana kidogo tu imooo
Niko poa mkuuSafi tu nambie
chukua shule kutoka kwa Le Profesa Kijana wa hovyo hovyoOoh kumbe sikujua hilo
Si unaona sasa yaani unafananisha hadi udaktari na uinjinia. Mwili wa binadamu una taratibu zake za kufanya kazi na kujiendesha, hauwezi fananisha na mashine ambazo binadamu una uwezo wa kuzitune tu na kuzifanya zifanye kazi na zijiendeshe kama unavyotaka wewe, sasa jaribu hivyo kwenye mwili wa binadamu ndiyo utajua kwanini hujui.Hujui mfumo wa magri hauna tofauti na binadamu Ukuje tutakupima na tutaonesha kila kitu
nikiwa mkubwa sana, nitajaribu kugegeda tomboy nione inakuwaje kuwaje.. but wanabaki kuwa wanawake tu japo wanajionaga waseraNi kweli matom boy hawako kwenye hiyo society, japo kuna watu wanaamini kuwa mtu ukiwa tu tom boy basi wewe ni lesbian kitu ambacho si kweli. Kuwa tom boy haihusiani na sexual orientation ya mtu, hiyo it's all about mwanamke kuwa na muonekano wa kiume na baadhi ya tabia za kiume lakini wapo matom boy ambao wanagegedwa kama kawaida tu.
Una makuthudi we mtoto wakikeWishing you a good night and sweet dreams guys!!!View attachment 2029823
ECU = Brain , Engine = Tumbo au niendelee 🥸🥸Si unaona sasa yaani unafananisha hadi udaktari na uinjinia. Mwili wa binadamu una taratibu zake za kufanya kazi na kujiendesha, hauwezi fananisha na mashine ambazo binadamu una uwezo wa kuzitune tu na kuzifanya zifanye kazi na zijiendeshe kama unavyotaka wewe, sasa jaribu hivyo kwenye mwili wa binadamu ndiyo utajua kwanini hujui.
Watuwache watu wa baiolojia tujadili
Hii ni meme jamani
Haya Profesa .chukua shule kutoka kwa Le Profesa Kijana wa hovyo hovyo
Haha ni watamu kama wanawake wengine tu kwani unafikiri wana utofauti basi? Tena kuna wengine wako vizuri kwenye six by six wanajituma sana kuliko hata masister du!nikiwa mkubwa sana, nitajaribu kugegeda tomboy nione inakuwaje kuwaje.. but wanabaki kuwa wanawake tu japo wanajionaga wasera
Asee hata mie kwa macho nikiwaonaga navita picha ya utamu wao pia mnakuwa na funy sana kwa bedi, sio hivi vinavyojiona pure breed 😒😒😒Haha ni watamu kama wanawake wengine tu kwani unafikiri wana utofauti basi? Tena kuna wengine wako vizuri kwenye six by six wanajituma sana kuliko hata masister du!
Hapo kwenye kujiona wasela pia siyo wote! Wanaojiona wasela ni wale lesbians ambao wamejipa jukumu la wanaume hadi kitandani ila the rest ambao hatuhusiki huwa tunajiona wanawake kama wanawake wengine tu sema ndiyo tunakuwa tumeshindwa tu kujiweka ili kisister du kama wenzetu!
Hahaaa ndiyo ninyi mnaosema gari ni living thing iliyopooza. Eti kisa tu inakula, inajisaidia, inaumwa, inakufa nk imeshindwa tu kukua na kuzaa, mnasahau kwamba kitu chochote kikikosa sifa hata moja tu ya living thing hicho tayari ni non living thing sasa gari ishakosa sifa mbili hapo hivyo hauwezi fananisha mashine na mwili wa binadamu.ECU = Brain , Engine = Tumbo au niendelee 🥸🥸
Hahaaa mimi niexclude hapo maana kwenye hiyo sekta ya mapenzi niko mbovu mbaya aisee. Mie wanaume wote nawachukuliaga kama kaka zangu tu.Asee hata mie kwa macho nikiwaonaga navita picha ya utamu wao pia mnakuwa na funy sana kwa bedi, sio hivi vinavyojiona pure breed