geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
limepita kalumbu....naenda tukuyu huko parachichi nyingi sanaNakutamaniii this time siendiii, unibebee maparachichi
limepita kalumbu....naenda tukuyu huko parachichi nyingi sanaNakutamaniii this time siendiii, unibebee maparachichi
Kwani hujui hizi siku tatu mvua imenyesha pia?Hizi siku mbili tatu mmevurugwa sana nyie watu... Nawasomaga tu nawakosea majibu 😏
Haha mimi hayo masuala huwa sitaki hata kuyaongelea sana ndugu yangu. Maana wakianza kujitetea hapa hapatakalika.





Bundle iliisha, ikashinwa ku "danrod"Umetubania sura mkuu![]()
Nimependa smile yako best
Nundu limependesha gauni.
Ahsante!Nimependa smile yako best
Mimi mependa izo ndevu juu na chini!!











Mimi mependa izo ndevu juu na chini!!![]()
Hahahaha eti pure breed .Asee hata mie kwa macho nikiwaonaga navita picha ya utamu wao pia mnakuwa na funy sana kwa bedi, sio hivi vinavyojiona pure breed![]()
Imebidi nipande juu nione vidole vya kushika ball haraka.Hahaa mdogo wangu hivi vidole kama tangawizi Ndiyo vyenye unavitamaniView attachment 2030404
Huyu ndio wewe 😧😧😧Hahahaha eti pure breed .
na sisi rough je ?View attachment 2030677
Mie sina mdada asee .. wadada wote nachukuliaga kama wachumba zangu watarajiwa, siwezi kuku exclude asee 👴🏾👴🏾👴🏾Hahaaa mimi niexclude hapo maana kwenye hiyo sekta ya mapenzi niko mbovu mbaya aisee. Mie wanaume wote nawachukuliaga kama kaka zangu tu.![]()
![]()
Ndiyo lunch yako hiyo my love.
Hyo combination dada ya kitumbua na ndiz inafikirisha sana kwasis watoto wa shetan