Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20211201-044955.jpg
 
Kwamba niende Kwa sangoma ili mahondaw anitunuku Mimi?thubutuuu

Hata Kwa mkono wa BWANA sidhani km itawezekana mkuu.kuna namna inabidi ifanyike_kutafuta hela na kuwa wa kishua km wewe hapo labda naweza kuwashinda kina Hazard CFC

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mimi mtoto hata kunifunguliwa piemu tu hatakii....naelekea kupoteza pambano hahaha
 
Bata letu na kamanda Satoh Hirosh zio la kitoto, ufanye ku opt tu .. USA , bata la dubai la washamba ila mjanja huwezi kuta anakimbilia dubai, mala nyingi wajanja tunaingia zetu visiwa vya carebean huko 😀😀 au ...
Unantamanishajeeee nasikia USA ndio marekani! eti!??!!?? Jamani iiii 😋😜
 
Mkuu tumpe offer mahondaw, pale Manhatan.. twende tukale nae bata.. mie nakuwa na kipenzi changu Depal na wewe utakuwa na rafiki yako mahondaw 😀😀😀 kwenye huu msimu wa christmas
Wazo zuri sn..Tatizo sina mchuzi,hebu muulize huyo mahondaw yupo Tyr kukibeba kile kiapo cha madhabauni cha 'umpende kwenye shida na Raha?'

Kama jibu lake ni ndiyo basi nami nipo Tyr kupambana usiku na mchana ili siku moja nimpeleke siyo Tu Manhattan Bali hata pia visiwa vya Ibiza Spain Kula maraha
 
Wazo zuri sn..Tatizo sina mchuzi,hebu muulize huyo mahondaw yupo Tyr kukibeba kile kiapo cha madhabauni cha 'umpende kwenye shida na Raha?'

Kama jibu lake ni ndiyo basi nami nipo Tyr kupambana usiku na mchana ili siku moja nimpeleke siyo Tu Manhattan Bali hata pia visiwa vya Ibiza Spain Kula maraha
Shida na Raha mkuu wangu haipo siku hizi 😀😀😀, tuta fail hapo. Tutalala na njaaa acha mie niende na Depal wangu asee
 
Back
Top Bottom