Ndo character yangu hiyo ...Huyu ndio wewe
Mhuu ๐Ndiyo lunch yako hiyo my love.
Kufikiri ni kuzuri sana kwa afya ya akili so....keep it up!๐๐พHyo combination dada ya kitumbua na ndiz inafikirisha sana kwasis watoto wa shetan
Hapo unichanganya, kama upo hivyo unadeka na unahitaji mwanauma ambae atakudekeza na kukujali .. msimano unao unaweza msaidia mwenzako mahala anapo yumbo kimsimamo.. ๐๐๐๐๐Ndo character yangu hiyo ...
Haya asante kwa nondo hizi professor .Hapo unichanga, kama upo hivyo unadeka na unahitaji mwanauma ambae atakudekeza na kukujali .. msimano unao unaweza msaidia mwenzako mahala anapo yumbo kimsimamo..
Nimekuelewa vibaya upo kama girlfriend wangu kipindi nasomaaa ๐๐๐๐Haya asante kwa nondo hizi professor .
Japo sijaambiwa mimi niseme..ila nasema.
Kingine ni picha.
Alikuwaje yeye ?Nimekuelewa vibaya upo kama girlfriend wangu kipindi nasomaaa
Asante!Kijana wa hovyo hovyo anawakaribisha part two baada ya kutoka uswazi moja.. Satoh Hirosh mahondaw View attachment 2030709
kama picha uliyopost daah , umenikumbusha mbalii ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ. mwanamke kupendeza bwana weeeAlikuwaje yeye ?
Mimi napenda urembo ila sio kihivyo .
Weh kumbekama picha uliyopost daah , umenikumbusha mbalii . mwanamke kupendeza bwana weee
๐๐ Eeh hapo nimetoka zangu ushirombo nikanasa kwa chombo daaah... picha ilivyo nae alikuwa hivyo hivyo yaani kama picha yake vile ๐๐๐Weh kumbe
Aisee ilikuwa first love nini ?
Kupendeza ni muhimu kabisa .
Ooh okayEeh hapo nimetoka zangu ushirombo nikanasa kwa chombo daaah... picha ilivyo nae alikuwa hivyo hivyo yaani kama picha yake vile
Aahh basi wewe hufai kabisa kuwa kaka yangu. Mimi sina kaka sisi kwetu wote tumezaliwa wa kike, hivyo wanaume wote wanaonitongoza huwa natamani waishie tu kuwa kaka/rafiki zangu, na hii ni kwa faida yao wenyewe maana mimi atakayekuwa mpenzi/mume wangu namuonea huruma sana.Mie sina mdada asee .. wadada wote nachukuliaga kama wachumba zangu watarajiwa, siwezi kuku exclude asee
Daah sema camera za iphone macho matatu ni konyo kwa kweli, yaani kitu crystal clear. Ningekuwa sikufahamu kama wewe ni fogo ningesema huyo siyo wewe umechukua picha ya mtu mwingine, si unatujua tena wabongo mtu akiwa hana analazimisha wote wawe hawana kama yeye.Kijana wa hovyo hovyo anawakaribisha part two baada ya kutoka uswazi moja.. Satoh Hirosh mahondaw View attachment 2030709