Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Nakutamaniii this time siendiii, unibebee maparachichi
Sikio la chini mkuu 😀😀Wana maumbile mafupi kishenzi....maumbile gani/yapi mkuu?![]()
Yawezekana ubekitatu unasogeza kizazi karibu na hamsemi.



nampendea mommah hana unafiki, kampa mtu za uso hadi anashangaa lol, na kamuumbua kwa kweli uwiiiih.



nimecheka sana tena mno naona umekerekwa sana, wee huyu uwe na hoja za kupinga?
Uzuri wake sasa mambo yote yako hadharani, labda nkukumbushe rejea saka saka ya mashoga ya makonda, afu rejea tamko la serikali yako tukufu, utapata majibu.
uzi huu n wa selfika, usitake kuanzisha mada nyingne, nakupa ruksa sasa, kaanzishe huo uzi unaohusu hili unalolitaka afu tushindane kwa hoja, nakupa ruksaaa.
Nwei watu mtume picha zenu, km uzi unavyotaka
![]()





Japo sijaambiwa mimi niseme..ila nasema.limeisha hilo sema kingine![]()
Paragraph ya kwanza imenichekesha.
Studio waleteeee.
BTW sichangii mada yenu.



kuwa mtazamaji tyuuh.Nimecheka sanakuwa mtazamaji tyuuh.










Mwambie aweke picha.Tanteeeeeh.![]()
Mkuu unatwanga maji kwa kinu, nilishafanyaga kumu ignore huyo dogo.. anafurahi sana ushoga kijana wa kiume chenga kweli





Dj waleteeeeeeeeh. 


Hivi ni nini kimekusibu hadi umebadili jina hivyo mtakatifu mwenzangu?Mkuu unatwanga maji kwa kinu, nilishafanyaga kumu ignore huyo dogo.. anafurahi sana ushoga kijana wa kiume chenga kweli
Nimecheka sana
Ila jf jamani
Unaweza amka huna hili wala lile unakuta umewamiwa kwenye comment yako.





cc watu wamevurugwa ujue, jua kali, mgao wa maji na umeme, hasira wanataka wazipumzikie kwa wenzao, tena mti mwenyewe mie, 






Kwan hujawahi kuona? Mbna hua anawekaga,Mwambie aweke picha.



Hivi ni nini kimekusibu hadi umebadili jina hivyo mtakatifu mwenzangu?
Inatoa mkuu?Nimepita pita naichaka mda si mrefu EURAUD![]()
Huwa naipenda sana EURAUD pamoja GBPAUD zinatoa kishenzi pesa kukiwa na movement kwenye sokoInatoa mkuu?
Ngoja nizizingatie mkuuHuwa naipenda sana EURAUD pamoja GBPAUD zinatoa kishenzi pesa kukiwa na movement kwenye soko



mzee wa shepherd inakuaje ?Hahaha.....we jamaa bhanaSikio la chini mkuu![]()