



wee Mr mbna umehemkwa sana? Hivi hata umeelewa lakn? cc angu n Tom boy na sio lesboo,
Muwage hata mnafatilia mambo kwa undani sio kujifanya mnajua, kumbe hata hakna lolote,
Nwei nlikua naongea na huyo nliyekua namquote, kna 7bu iliyofanya niongee nae hivyo, au uliona siku za nyuma nimezungumzia hilo?
Mnaojifanya smart person na hamna lolote, km huyo mwenzio kapewa za uso na nliyekua namquote kuhusu kizazi cha wanawake





, kapewa za chembe kabaki kujifaragua ooh ni mtafiti mara vile, kumbe blaah blaah nyingi.




mbavu zangu mie.
Huo utafiti kaambiwa atoe ushahidi wa kisayansi anabaki kutema pumba oooh mie mwanaume najua,



Mwanaume anabishan na mwanamke kuhusu uzazi wa mwanamke, ajabu iliyoje, tobaaah weee,
Dunia ina vituko hii lol.


