Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Jioni uje sea clif tupige ma story, umependeza hapo tunaendana kabisaa hata tukiwa pale tunakula vyombo 😀😀😀Ready for work!!! Muwe na siku njema!View attachment 2030351
Jioni uje sea clif tupige ma story, umependeza hapo tunaendana kabisaa hata tukiwa pale tunakula vyombo 😀😀😀Ready for work!!! Muwe na siku njema!View attachment 2030351
Mwanzo wa safari kana furaha, ngoja kachoke sasa 😀😀😀
Safi tu nambieKwema mkuu Habari yako kiongozi
Nilikuwa najiuliza hili Ingizo jipya Selfika mbona silielewi.Nikiwa kama mtaalamu wa saikolojia, and by experience kama Kijana wa hovyo hovyo mwanamke mwenye vidole kushika mimba ni second sifuri, ukicheza nae kwenye danger umeisha aseee , vizazi vyao huwa vipo karibu sanaaa

Sijaelewa Mkuu .. .vidole ambavyo vimeshikana bila kuachiana au vipi ?Nikiwa kama mtaalamu wa saikolojia, and by experience kama Kijana wa hovyo hovyo mwanamke mwenye vidole kushika mimba ni second sifuri, ukicheza nae kwenye danger umeisha aseee , vizazi vyao huwa vipo karibu sanaaa
Ni Kijana wa hovyo hovyo 😀😀😀😀😀Nilikuwa najiuliza hili Ingizo jipya Selfika mbona silielewi.
Jana nikapata majibu Buaanaa... Kumbe ni HM
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mwanamke ukishakuwa haupendi urembo wala kujiweka ki kike kike technically wewe ni tom boy. Wengine tushazoeleka hivyo tangu wadogo.Safi sanaa, we upo km cc ang wa 1 blood, yaan yee na urembo hat hautak yupo kawaida af sasa ypo ki boy boy,
Nsimalizie San,
vifupi kama hivyo, hao cheza nao kwa umakini sana kidogo tu imooo 😊😊😊Sijaelewa Mkuu .. .vidole ambavyo vimeshikana bila kuachiana au vipi ?
Hahaaa hivi hizi sayansi huwa mnazitoa wapi au ndiyo kwenye vijiwe vya kahawa? Nijuavyo kushika mimba kwa mwanamke hakutegemeani na maumbile yake mengine ya mwili wala sijui ukaribu au umbali wa kizazi!Nikiwa kama mtaalamu wa saikolojia, and by experience kama Kijana wa hovyo hovyo mwanamke mwenye vidole kushika mimba ni second sifuri, ukicheza nae kwenye danger umeisha aseee , vizazi vyao huwa vipo karibu sanaaa
Na uzoefu sana mkuu, trust me.. maumbile ( viungo ) vina link na tabia au muonekano wa viungo flani.. Hiyo sio kahawa nimefanya tafiti ni kweli hiyo .. nisije onekana hapa naongea matusi acha nituliw ila huo ndio ukweli mkuu wanguHahaaa hivi hizi sayansi huwa mnazitoa wapi au ndiyo kwenye vijiwe vya kahawa? Nijuavyo kushika mimba kwa mwanamke hakutegemeani na maumbile yake mengine ya mwili wala sijui ukaribu au umbali wa kizazi!
Na hakunaga kizazi cha mbali wala cha karibu kizazi cha mwanamke kinajulikana kinapokaa sehemu yake ni moja tu! Na hiyo ni kwa wanawake wote hakuna ambaye kizazi chake kipo tumboni wala kifuani!
Mfano naonaga wanaume wengi wanadanganya eti sijui vizazi vya mahousegirl vipo karibu sana ukifanya naye mara moja tu anapata mimba! Sasa sijui hicho kizazi kinajuaje kuwa huyo mmiliki wake ni housegirl!
Mwanamke kushika mimba kunategemeana na mambo mengi! Lakini kikubwa ni uwezo wa shahawa kuogelea na kulifikia yai lililopevuka kwenye mji wa mimba ili kulirutubisha hayo mengine ni hadithi tu!
Bila shaka nawe utakuwa unaamini kuwa mwanamke sehemu anayofanyia ndiyo hiyo hiyo anayokojolea wakati ni sehemu mbili tofauti! Na ni wanaume wengi wanaamini hivi utasikia "twende tukaunganishe vikojoleo"!
Nikionaga ukuta umesimama hivyo siku hizi Naanzaga kujisemea kimoyo moyo "watu wamejipinda bwana" Fensi nimeinyooshea mikono Juuuu..
Sasa watu wa mitaa ya Home, wanasema tumebadilishana, yeye amekua mie, na mie nimekua yeye.Haha mwanamke ukishakuwa haupendi urembo wala kujiweka ki kike kike technically wewe ni tom boy. Wengine tushazoeleka hivyo tangu wadogo.




Nahisi nimechelewa kuijua, ila tangu nianze kuitumia nimeifurahia sana.Tuko pamoja mkuu. Ndiyo snack yangu hii...pamoja na walnuts...na pumpkin seeds....
View attachment 2029827
Unafikiri wewe ni wa kwanza kusema umefanya utafiti? Hii kauli wanaume wote wanaokujaga na assumptions kama hizo kichwani, huwa wanajificha kwenye kichaka cha kwamba eti wamefanya utafiti ili kutetea hizo assumptions zao, ila ukweli ni kwamba hakunaga mambo kama hayo take it from me or if not me atleast take it from science (biology to be specific)!Na uzoefu sana mkuu, trust me.. maumbile ( viungo ) vina link na tabia au muonekano wa viungo flani.. Hiyo sio kahawa nimefanya tafiti ni kweli hiyo .. nisije onekana hapa naongea matusi acha nituliw ila huo ndio ukweli mkuu wangu
Jamaa hapendi kuandika sana ila anaonekana anapenda zaidi Kusoma 💪
Hapa unataka kumaanisha nini jirani yangu?😜😜🙈🏃🏃Unafikiri wewe ni wa kwanza kusema umefanya utafiti? Hii kauli wanaume wote wanaokujaga na assumptions kama hizo kichwani, huwa wanajificha kwenye kichaka cha kwamba eti wamefanya utafiti ili kutetea hizo assumptions zao, ila ukweli ni kwamba hakunaga mambo kama hayo take it from me or if not me atleast take it from science (biology to be specific)!
Haya bwana, mie ndio mwanaume najua ukweli 😀😀Unafikiri wewe ni wa kwanza kusema umefanya utafiti? Hii kauli wanaume wote wanaokujaga na assumptions kama hizo kichwani, huwa wanajificha kwenye kichaka cha kwamba eti wamefanya utafiti ili kutetea hizo assumptions zao, ila ukweli ni kwamba hakunaga mambo kama hayo take it from me or if not me atleast take it from science (biology to be specific)!
Hahaaa hata mie ulivyosema tu una sis wako tom boy nikawaza hivyo kuwa mmebadilishana! Anyway i hope hayuko kwa ile society kindakindaki au na yeye ni one of them?Sasa watu wa mitaa ya Home, wanasema tumebadilishana, yeye amekua mie, na mie nimekua yeye.
Ila watu wakorofi sana daaah.