Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
YummyMchana ndio unavoendaView attachment 1989533
aisee nitumie Bank Account yako.
Ya USD au TZS?? 😆😆aisee nitumie Bank Account yako
USD pleaseYa USD au TZS?? 😆😆
Mkuu nimefurahi kukuona kwenye huu uzi,naomba uselfike.weka pesa pembeni uendelee kula.
Tayari! 😁😁USD please
Nilitoka nayo unyakyusani huko.
Mengi yameharibika,hayafai tena.Si yanifikie tu Goba
Fanya kuyaposti!
Nilitoka nayo unyakyusani huko.

Mengi yameharibika,hayafai tena.
Nitakubebea nikienda tena.
Kako vizuri sana.Kadude katamu haka![]()
Na mimi nitamkumbusha nkamu.....Nitakukumbusha
Huu ung'ataji ni matumizi mabaya ya ofisi ya umma