Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
SawaNitakukumbusha
SawaNitakukumbusha
Fanya kuyaposti!![]()
yameozaSitasahau

Unaonekanaga tu hata kwenye selfies zako. Sema 6' 2" daah mkuu uko vizuri hongera.Itoshe kusema mimi ni mrefu, (6' 2" )
Ila waluguru na wazaramo ni vifupiView attachment 2025017View attachment 2025024
Mkuu Ulibakiza kama 1.1' hivi kumfikia Hasheem Thabeet 👏👏👏Itoshe kusema mimi ni mrefu, (6' 2" )
Ila waluguru na wazaramo ni vifupiView attachment 2025017View attachment 2025024
Wanaume wembamba warefu wana matatizo sana 🤣🤣Itoshe kusema mimi ni mrefu, (6' 2" )
Ila waluguru na wazaramo ni vifupiView attachment 2025017View attachment 2025024
We mwenyewe hushuki 5'9Mkuu Ulibakiza kama 1.1' hivi kumfikia Hasheem Thabeet 👏👏👏
Mpe hi tall mwenzio mmoja hivi yuko hapo Monduli.
Huenda enzi zile za Utumwa nyie ndiyo mlikuwa na soko sana kwenye Mashamba ya miwa ya France yaliyokuwa kule Brazil 😜😜
Ukishakuwa Mzee kama Mimi hivi kimo huwa kinapungua😜😜We mwenyewe hushuki 5'9
AiseeKwa hii lipstick itakuwa unawaka
Ha ha ha

Wanaume wembamba warefu wana matatizo sana![]()



iko jinga sana wewe toto ya kikeSabato njema sana mkuuHappy Sabbath View attachment 2025121

Akhsante sana mpendwa