T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,087
Haha....unapenda shikamo(ukubwa Anne)Marahabaaa
Mwadila mola?
Mhola sana ng'wanike
Habari sha siko?
Haha....unapenda shikamo(ukubwa Anne)Marahabaaa
Mwadila mola?
Karibu sana mkuuwish December nije ninywe maziwa na kuku wa kienyeji kwa wingi uku town ni broiler mwanzo mwisho Depal unaitwa
MmmmmmmhNmecheka sana View attachment 2023946
Ooh!!Akhsante kwa kufika/kuitwa ukaitika
Wakati wewe ndy mwalimu wao


Punguza ua bn#januarygoalView attachment 2023956

Onyesha mfano 🙂
Happy Birthday To YouHappy birthday to me View attachment 2023873
Mkuu nimetizama vibaya nikajua kucha umepaka rangi


ThanksHappy Birthday To You

Usinisahau kwenye kula keki.
Njoo uchukue mpendwaUsinisahau kwenye kula keki.
Iko wapi?Njoo uchukue mpendwa
Utaniletea stand hapoIko nyumbani![]()

Sawa utanistua tuUtaniletea stand hapo![]()
Sasa si hadi msherehekee.Sawa utanistua tu
Nipo mwenyewe nashelekea kiume kiumeSasa si hadi msherehekee.
Ile inayobaki ndio tunakula sisi wazee wa finishing.

kwaiyo kama utakuwa wa kwanza utakuwa sio mzee wa finishing